Wanaweza wakawa wanajuana tangu zamani au ni washikaji wanaongea kwenye simu....!!!Mwanakijiji atasema nini?Lowasa atanena kitu gani?
Tutamkatia kisungura na yeye afurahie, then tutamjumuisha kwenye ndege yetu apae. Mchezo kwisha!Mwanakijiji atasema nini?Lowasa atanena kitu gani?