Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,702
- 71,013
Swali hili lilikuwepo siku za nyuma,wakati bwana mkubwa akiwa anaongozana na ma-body guard kibao. Leo hii yeye kama Mbunge wa Monduli tu (na sio Waziri Mkuu msaafu maana kaachia ngazi)hana hao wakinga mwili itakuwaje?
Maana EL anajuwa kuwa mchango wa Mkjj ktk habari umechangia kwa kiasi fulani yaliyojitokeza ndani ya jengo na kujenga historia mpya ya nchi yetu.
Nahisi EL atapanisha mori na patakuwa hapatoshi hivyo Mkjj anza mazoezi ya riadha ili yakusaidie siku hiyo ikifika.
Maana EL anajuwa kuwa mchango wa Mkjj ktk habari umechangia kwa kiasi fulani yaliyojitokeza ndani ya jengo na kujenga historia mpya ya nchi yetu.
Nahisi EL atapanisha mori na patakuwa hapatoshi hivyo Mkjj anza mazoezi ya riadha ili yakusaidie siku hiyo ikifika.