Siku mtu mwenye mali zake mkazi wa Dar aliyeugua maradhi yasiyojulikana alivyoletwa kutibiwa kwa mganga wa kienyeji huko Lindi

MM nawezq amini hii story tena 100 %
naomba niulize swali

kwann mganga atoe mashart chakula apewe na mama au binti yake apa nina maj8bu mawili

1.mganga alishajua mke ni mchawi na mnafiki

2.au ni ngumu kwa mama na binti kumtega mshikaji

naomba jibu muheshimiwa nipo njian naenda kukiamsha huko
Alishajua mke ni mchawi
 
MM nawezq amini hii story tena 100 %
naomba niulize swali

kwann mganga atoe mashart chakula apewe na mama au binti yake apa nina maj8bu mawili

1.mganga alishajua mke ni mchawi na mnafiki

2.au ni ngumu kwa mama na binti kumtega mshikaji

naomba jibu muheshimiwa nipo njian naenda kukiamsha huko
kabla hujaenda kichwa kichwa, nini tatizo kaka!
 
Alishajua mke ni mchawi
sasa mbona kaz ilikuwa kubwa apo we fikiria mke alivokaribu na mume ilikuwa hakwepek na mwisho apo ndio paliponichoma zaidi yaan daktar nae anakubali kuwa muuwaji kisa pesa ebu waza uyo mwanamke ukute hata kazi halima na kichwa kimejaa upuuzi si bora angembana mshikaji angempa mpunga wa kutosha maana jamaa anazo angepata pesa na balaka kutoka mungu sasa kaenda kula pesa za mwiz na baraka kutoka kwa shetani

waganga mjitathimin nje ya hapo nyinyi pia ni sawa na wachawi tu
 
sasa mbona kaz ilikuwa kubwa apo we fikiria mke alivokaribu na mume ilikuwa hakwepek na mwisho apo ndio paliponichoma zaidi yaan daktar nae anakubali kuwa muuwaji kisa pesa ebu waza uyo mwanamke ukute hata kazi halima na kichwa kimejaa upuuzi si bora angembana mshikaji angempa mpunga wa kutosha maana jamaa anazo angepata pesa na balaka kutoka mungu sasa kaenda kula pesa za mwiz na baraka kutoka kwa shetani

waganga mjitathimin nje ya hapo nyinyi pia ni sawa na wachawi tu
Mume hakufa babu alikataa huo mpango wa mwanamke. Jamaa alipona kabisa na baada ya siku 21 mke hakumaliza wiki akafa
 
Mkuu LIKUD hili liko wazi,hata wateja wakubwa wa waganga ni wanawake! Na inshu nyingi ni mahusiano..tunalogwa sana wazee..kuna watu humu hizi inshu wanazichukulia story za kwenye kahawa..lakini zipo! Kuna watu wako kwenye vifungo vya ndoa na mahusiano na hawajui wanachomokaje..mambo hayaendi,wamewahiwa!
 
2011 nimefika kwa Kaka yangu namkuta anaumwa balaa..halafu mke wake yaan full ujuaji..ooh Kaka yako atakuwa karogwa na na yule Malaya wake ..ooh Mara hivi Mara vile..nikalala pale usiku sielewi elewi Kaka analia chumban mbavu zinabana halafu mke hajali...nikawagongea nikambeba bro had chumba changu..asubuhi nikaondoka nae nikasema akacheki hospital..ile tumetoka nje ya getini nikamwambia kaka tunaenda kigoma..Moja kwa Moja From kogamboni to Kigoma..huko mtaalamu akabaini mke ndo muhusika..bro akatibiwa kwa miezi miwili...akapona...
Huku nyuma Shem akaanza kulalamika nimemuiba mgonjwa hajui alipo mume wake..akalaani Sana..
Mtaalamu akaeleza uchawi uliofanyika shemeji akishirikiana na mama Yake mzaz walitumia mjusi mwenye mimba ambae walimpasua na kutoa kitoto Cha mjusi ambacho walikisaga na kuchanganya na dawa zingine wakamtilia kwenye chakula..ile kitu ikaenda ikafunga utumbo mpana na kusababisha vichomi..broo akawa hapati haha kubwa ..anakula lakn haendi chooni ....
To cut the story short broo alipona ila yule shemeji amepooza yuko kwao hapo kaskazin mwa Tanzania..
Mjusi gani anashika mimba. Hukuwahi kusoma tabia za reptilia. Stori ina funzo pamoja chai
 
Back
Top Bottom