Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,661
- 4,816
🥺🥺
Achana na f#l hiloCheka Tu lakini usiombee yakukute mkuu
Kaskazini mwa TZ2011 nimefika kwa Kaka yangu namkuta anaumwa balaa..halafu mke wake yaan full ujuaji..ooh Kaka yako atakuwa karogwa na na yule Malaya wake ..ooh Mara hivi Mara vile..nikalala pale usiku sielewi elewi Kaka analia chumban mbavu zinabana halafu mke hajali...nikawagongea nikambeba bro had chumba changu..asubuhi nikaondoka nae nikasema akacheki hospital..ile tumetoka nje ya getini nikamwambia kaka tunaenda kigoma..Moja kwa Moja From kogamboni to Kigoma..huko mtaalamu akabaini mke ndo muhusika..bro akatibiwa kwa miezi miwili...akapona...
Huku nyuma Shem akaanza kulalamika nimemuiba mgonjwa hajui alipo mume wake..akalaani Sana..
Mtaalamu akaeleza uchawi uliofanyika shemeji akishirikiana na mama Yake mzaz walitumia mjusi mwenye mimba ambae walimpasua na kutoa kitoto Cha mjusi ambacho walikisaga na kuchanganya na dawa zingine wakamtilia kwenye chakula..ile kitu ikaenda ikafunga utumbo mpana na kusababisha vichomi..broo akawa hapati haha kubwa ..anakula lakn haendi chooni ....
To cut the story short broo alipona ila yule shemeji amepooza yuko kwao hapo kaskazin mwa Tanzania..
Ilikuwaje mpaka akakuambia hayo?!Siku hizi Post Nyingi za Masimulizi Lazima Nizichukulie serious sana. Na kuchukua Jambo la Kujifunza katika Maisha hata kama Halijanitokea
Ingawa Mke wangu kuna Siku aliniambia Wanawake ni Viumbe wenye Roho mbaya sana. Akaniambia hivyo usituone hivi hivi ila Tuna Roho mbaya sana Sisi
Sasa Hapa Ndugu yangu tunajiepushaje na Hawa Viumbe ukizingatia ndio wanatupikia na Kutulisha
nyanyantole2011 nimefika kwa Kaka yangu namkuta anaumwa balaa..halafu mke wake yaan full ujuaji..ooh Kaka yako atakuwa karogwa na na yule Malaya wake ..ooh Mara hivi Mara vile..nikalala pale usiku sielewi elewi Kaka analia chumban mbavu zinabana halafu mke hajali...nikawagongea nikambeba bro had chumba changu..asubuhi nikaondoka nae nikasema akacheki hospital..ile tumetoka nje ya getini nikamwambia kaka tunaenda kigoma..Moja kwa Moja From kogamboni to Kigoma..huko mtaalamu akabaini mke ndo muhusika..bro akatibiwa kwa miezi miwili...akapona...
Huku nyuma Shem akaanza kulalamika nimemuiba mgonjwa hajui alipo mume wake..akalaani Sana..
Mtaalamu akaeleza uchawi uliofanyika shemeji akishirikiana na mama Yake mzaz walitumia mjusi mwenye mimba ambae walimpasua na kutoa kitoto Cha mjusi ambacho walikisaga na kuchanganya na dawa zingine wakamtilia kwenye chakula..ile kitu ikaenda ikafunga utumbo mpana na kusababisha vichomi..broo akawa hapati haha kubwa ..anakula lakn haendi chooni ....
To cut the story short broo alipona ila yule shemeji amepooza yuko kwao hapo kaskazin mwa Tanzania..
Japokua watu wataona sio sawa Ila mim naamin ukiwa na mafanikio hakuna point ya kuoa sababu wanawake wote watakua wanakupendea ela na full maigizo yaana hutapata real love alafu ukigundua utaumia sanaNmewaza Sana kwajinsi navyohangaika kutafuta halafu siku ya siku nitangulizwe na Mali amiliki nguchiro mmoja!!! Daahh!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo mama ndio master plan wa issue nzima so usishangae kumpeleka mumewe kwa wachungaji fake (wachungaji wanaotumia nguvu za giza). Hata biblia imeandika ufalme wa aina moja hauwezi kuufitinisha ufalme ufananao.Kumbuka Kwenye Story hapo wameangaika Kwa Wachungaji wengi. Ila Kumbuka Maombi bila Kutumia na Akili timamu utashangaa unakufa na Maombi yako. Watu wanatengenezwa
Kwa ujumla binadamu wote wanawake na wanaume ila kwa sababu wanawake ni watawaliwa ubaya wote huelekezwa kwaoWanawake watu wabaya sana kmmk![]()
Stori tu za maishaIlikuwaje mpaka akakuambia hayo?!
2011 nimefika kwa Kaka yangu namkuta anaumwa balaa..halafu mke wake yaan full ujuaji..ooh Kaka yako atakuwa karogwa na na yule Malaya wake ..ooh Mara hivi Mara vile..nikalala pale usiku sielewi elewi Kaka analia chumban mbavu zinabana halafu mke hajali...nikawagongea nikambeba bro had chumba changu..asubuhi nikaondoka nae nikasema akacheki hospital..ile tumetoka nje ya getini nikamwambia kaka tunaenda kigoma..Moja kwa Moja From kogamboni to Kigoma..huko mtaalamu akabaini mke ndo muhusika..bro akatibiwa kwa miezi miwili...akapona...
Huku nyuma Shem akaanza kulalamika nimemuiba mgonjwa hajui alipo mume wake..akalaani Sana..
Mtaalamu akaeleza uchawi uliofanyika shemeji akishirikiana na mama Yake mzaz walitumia mjusi mwenye mimba ambae walimpasua na kutoa kitoto Cha mjusi ambacho walikisaga na kuchanganya na dawa zingine wakamtilia kwenye chakula..ile kitu ikaenda ikafunga utumbo mpana na kusababisha vichomi..broo akawa hapati haha kubwa ..anakula lakn haendi chooni ....
To cut the story short broo alipona ila yule shemeji amepooza yuko kwao hapo kaskazin mwa Tanzania..
Chakula uwe una Kula nae au uwe unakula na watoto wake au Mtoto wake Yule anae mpenda sanaSiku hizi Post Nyingi za Masimulizi Lazima Nizichukulie serious sana. Na kuchukua Jambo la Kujifunza katika Maisha hata kama Halijanitokea
Ingawa Mke wangu kuna Siku aliniambia Wanawake ni Viumbe wenye Roho mbaya sana. Akaniambia hivyo usituone hivi hivi ila Tuna Roho mbaya sana Sisi
Sasa Hapa Ndugu yangu tunajiepushaje na Hawa Viumbe ukizingatia ndio wanatupikia na Kutulisha