Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Mikakati ya CCM nikuzalisha taifa la watu waoga na wasioruhusiwa kuhoji chochote, Pengine wanadhani wao ni bora sana na hawana makosa kabisa..
 
SIKU MBILI ZA HALIMA MDEE RUMANDE OYSTERBAY
Usiku wa kuamkia leo tarehe 6 Julai, 2017 ni usiku wa pili wa kulala korokoroni Mwenyekiti wa BAWACHA taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Kawe CHADEMA Halima James Mdee.

Katika rumande ya Polisi Oysterbay wilayani Kinondoni, Mdee ameendelea kutumikia masaa 48 aliyopewa na Mkuu wa Awilaya ya Kinondoni Ally Hapi kwa kosa la kumdhihaki Mh. Rais Dr. John Magufuli na kutoa maneno machafu yanayoweza kuvunja amani.

MATAMSHI YA MDEE
Akizungumza na waandishi wa habari Makao makuu ya CHADEMA Mdee ananukuliwa kudai kuwa Mh. Rais Magufuli amekua na "tabia ya hovyo...", "...ipo siku ataagiza watanzania (wake kwa waume) watembee vifua wazi...". Maneno mengine ni "...Rais lazima afungwe breki...",apewe semina elekezi n.k.

UCHOCHEZI
Halima Mdee anatajwa kutoa kauli za uchochezi kama vile "...woga wetu wananchi ndio unaotugharimu nchi hii..." "...watakaomfunga breki ni nyinyi wananchi...", maneno yanayotajwa kupandikiza na kuhamasisha chuki na vurugu kwa wananchi.

KUKAMATWA KWAKE
Baada ya amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mdee alianza harakati za kutoroka na kuruka mtego wa Polisi. Hata hivyo Jeshi la Polisi Kinondoni lilimkamata akiwa amejificha nyumbani kwa mama yake Kibamba wilayani Ubungo tayari kwa kutoroka.

RUMANDE
Halima Mdee anatajwa kuhifadhiwa katika rumande ya watuhumiwa wa uhalifu wa jinsia ya kike katika kituo cha Oysterbay Kinondoni.

BUNGE KUMUWAJIBISHA TENA
Akiwa bado anatumikia kifungo cha kutohudhuria Bunge hadi mwaka 2018, Halima Mdee ameingia tena matatani.

Kufuatia matamshi ya Mdee na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema, Spika wa Bunge Job Ndugai ameagiza kamati ya Kinga na Madaraka ya Bunge kukutana haraka kujadili kitendo cha Mbunge huyo kutoa matashi ya kulifedhehesha Bunge. Akikutwa na hatia huenda akaongezewa adhabu nyingine.
Hapo kuna uongo. Mbunge anatoroka kwenda wapi? Mbona polisi walimkuta kwake?
 
Duh!! kwa hiyo analiamsha dude halafu anakimbilia kwa mama kujificha,kwa hiyo wapiga kura wake tukiwa na shida nae tumfate kwa mamaake? Kumbe tunaongozwa na "mtoto wa mama"! Au mama ndiye alimtuma akaliamshe na sasa alikuwa anarudisha majibu?

Akili hizi, ndiyo mana tunaongozwa na cc emu
 
Kuna mambo mengi huwa yananikera hapa nchini. Mojawapo ni hizi nafasi za u-RC na u-DC. HIZI NAFASI HAZINA TIJA YEYOTE KWA WANANCHI.
 
Ukome kumuita Rais wetu wa JMT ' Kinyago ' sawa? au undhani na sisi hatuyajui ' mapungufu ' na ' madhaifu ' ya Edward N. Lowassa? Rais aheshimiwe tafadhali sawa? Yaani kabisa unamuita Rais wetu Kinyago? Umeshaharibu siku yangu tayari. Nitarudi.

Povuuuuuuuu!
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.

Sawa mzee wa Lumumba
 
Halima a
SIKU MBILI ZA HALIMA MDEE RUMANDE OYSTERBAY
Usiku wa kuamkia leo tarehe 6 Julai, 2017 ni usiku wa pili wa kulala korokoroni Mwenyekiti wa BAWACHA taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Kawe CHADEMA Halima James Mdee.

Katika rumande ya Polisi Oysterbay wilayani Kinondoni, Mdee ameendelea kutumikia masaa 48 aliyopewa na Mkuu wa Awilaya ya Kinondoni Ally Hapi kwa kosa la kumdhihaki Mh. Rais Dr. John Magufuli na kutoa maneno machafu yanayoweza kuvunja amani.

MATAMSHI YA MDEE
Akizungumza na waandishi wa habari Makao makuu ya CHADEMA Mdee ananukuliwa kudai kuwa Mh. Rais Magufuli amekua na "tabia ya hovyo...", "...ipo siku ataagiza watanzania (wake kwa waume) watembee vifua wazi...". Maneno mengine ni "...Rais lazima afungwe breki...",apewe semina elekezi n.k.

UCHOCHEZI
Halima Mdee anatajwa kutoa kauli za uchochezi kama vile "...woga wetu wananchi ndio unaotugharimu nchi hii..." "...watakaomfunga breki ni nyinyi wananchi...", maneno yanayotajwa kupandikiza na kuhamasisha chuki na vurugu kwa wananchi.

KUKAMATWA KWAKE
Baada ya amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mdee alianza harakati za kutoroka na kuruka mtego wa Polisi. Hata hivyo Jeshi la Polisi Kinondoni lilimkamata akiwa amejificha nyumbani kwa mama yake Kibamba wilayani Ubungo tayari kwa kutoroka.

RUMANDE
Halima Mdee anatajwa kuhifadhiwa katika rumande ya watuhumiwa wa uhalifu wa jinsia ya kike katika kituo cha Oysterbay Kinondoni.

BUNGE KUMUWAJIBISHA TENA
Akiwa bado anatumikia kifungo cha kutohudhuria Bunge hadi mwaka 2018, Halima Mdee ameingia tena matatani.

Kufuatia matamshi ya Mdee na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema, Spika wa Bunge Job Ndugai ameagiza kamati ya Kinga na Madaraka ya Bunge kukutana haraka kujadili kitendo cha Mbunge huyo kutoa matashi ya kulifedhehesha Bunge. Akikutwa na hatia huenda akaongezewa adhabu nyingine.
Etupotezea wana Kawe fursa ya kuwakilishwa bungeni.

Bora Bunge litengue ubunge wake tuchague mtu mwenye akili timamu.
 
Huyo dada analeta mipasho .....siasa za kizamani hizo ....wtz wanaheshimu mwanasiasa anayechalenge serekali kwa njia za kistaarabu ....


HAKUNA NAMNA YOYOTE AU SABABU ZOZOTE ZITAKAZO HALALISHA RAIS KUDHALILISHWA, KUDHIHAKIWA, KUKEJELIWA, KUTUKANWA.NIONAVYO UNAPOFANYA MOJA AU VYOTE NILIVYO VITAJA BASI UNAKUWA UMETUFANYIA SISI TULIOMUWEKA MADARAKANI, KITU AMBACHO SIO SAHIHI KISTAARABU NA NI KOSA KISHERIA ,NAOMBA TUMKOSOE KWA LUGHA YA KISTAARABU KWANI YEYE KAMA BINADAMU HAWEZI AKAMFURAHISHA KILA MMOJA WETU
 
Aaah tena !! Nini sasa hiii jaman
 
Haitokuja kutokea selikari hapa duniani ambayo itatoa uhuru wa kiwango hicho cha mtu kutoa maneno ya kejeli na kuudhi kwa kisingizio cha freedom of speech, hakuna.Hata leo tumpe nchi Lowasa, Tundu lissu au mwenyewe Mdee, hawatoweza.
Hata tukianzia tu kwenye family level,mtoto ukitumia lugha mbovu kwa mzazi wako hata kama ni yeye ndio aliyekukosea, utaisoma tu.
Vivyo hivyo, ofisini ukitumia lugha mbovu kwa bosi wako hata kama yeye ndio mkosaji, yatakukuta tu.Halafu mbona tumekuwa wasahaulifu mno?, mbona haya yametokea kwenye selikari zote zilizopita hapa Tz, iweje muishangae ya Jpm?
 
Acha kujitoa ufahamu mkuu, wewe unaweza kumwambia mzazi wako "una tabia za hovyo" halafu akakuvumilia? Anaposema ipo siku Rais atawaambia wake kwa waume watembee vifua wazi ni kama anataka kutuaminisha nini?
Watanzania bwana vitu vidogo tu povu linawatoka kwanza jamaa ni zaidi ya hovyo.
 
SIKU MBILI ZA HALIMA MDEE RUMANDE OYSTERBAY
Usiku wa kuamkia leo tarehe 6 Julai, 2017 ni usiku wa pili wa kulala korokoroni Mwenyekiti wa BAWACHA taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Kawe CHADEMA Halima James Mdee.

Katika rumande ya Polisi Oysterbay wilayani Kinondoni, Mdee ameendelea kutumikia masaa 48 aliyopewa na Mkuu wa Awilaya ya Kinondoni Ally Hapi kwa kosa la kumdhihaki Mh. Rais Dr. John Magufuli na kutoa maneno machafu yanayoweza kuvunja amani.

MATAMSHI YA MDEE
Akizungumza na waandishi wa habari Makao makuu ya CHADEMA Mdee ananukuliwa kudai kuwa Mh. Rais Magufuli amekua na "tabia ya hovyo...", "...ipo siku ataagiza watanzania (wake kwa waume) watembee vifua wazi...". Maneno mengine ni "...Rais lazima afungwe breki...",apewe semina elekezi n.k.

UCHOCHEZI
Halima Mdee anatajwa kutoa kauli za uchochezi kama vile "...woga wetu wananchi ndio unaotugharimu nchi hii..." "...watakaomfunga breki ni nyinyi wananchi...", maneno yanayotajwa kupandikiza na kuhamasisha chuki na vurugu kwa wananchi.

KUKAMATWA KWAKE
Baada ya amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mdee alianza harakati za kutoroka na kuruka mtego wa Polisi. Hata hivyo Jeshi la Polisi Kinondoni lilimkamata akiwa amejificha nyumbani kwa mama yake Kibamba wilayani Ubungo tayari kwa kutoroka.

RUMANDE
Halima Mdee anatajwa kuhifadhiwa katika rumande ya watuhumiwa wa uhalifu wa jinsia ya kike katika kituo cha Oysterbay Kinondoni.

BUNGE KUMUWAJIBISHA TENA
Akiwa bado anatumikia kifungo cha kutohudhuria Bunge hadi mwaka 2018, Halima Mdee ameingia tena matatani.

Kufuatia matamshi ya Mdee na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema, Spika wa Bunge Job Ndugai ameagiza kamati ya Kinga na Madaraka ya Bunge kukutana haraka kujadili kitendo cha Mbunge huyo kutoa matashi ya kulifedhehesha Bunge. Akikutwa na hatia huenda akaongezewa adhabu nyingine.
Hiyo njia ni ya kuelekea kolomije au chato fafanua
 
Upumbavu mkubwa huu! Lugha yake ya kukosa staha ndio inayozalisha majibu anayopata. Eti urais ni taasisi! Yaani taasisi ndio iheshimiwe kuliko heshima ya MTU mmoja mmoja?
Mtatuambia sasa kuwa hata Mirembe ni taasisi hivyo iheshimiwe kuliko anavyo heshimiwa utu wake MTU mmojammoja
Pavu jingi vepe unaamua vp sasa
 
Haitokuja kutokea selikari hapa duniani ambayo itatoa uhuru wa kiwango hicho cha mtu kutoa maneno ya kejeli na kuudhi kwa kisingizio cha freedom of speech, hakuna.Hata leo tumpe nchi Lowasa, Tundu lissu au mwenyewe Mdee, hawatoweza.
Hata tukianzia tu kwenye family level,mtoto ukitumia lugha mbovu kwa mzazi wako hata kama ni yeye ndio aliyekukosea, utaisoma tu.
Vivyo hivyo, ofisini ukitumia lugha mbovu kwa bosi wako hata kama yeye ndio mkosaji, yatakukuta tu.Halafu mbona tumekuwa wasahaulifu mno?, mbona haya yametokea kwenye selikari zote zilizopita hapa Tz, iweje muishangae ya Jpm?
Mkuu usijisumbue ku reason na wavuta bangi kama Halima.
Incarceration ndo kitu !anaelewa.
 
Na ' Mwanamume ' anawanyoosha kweli.
Ona nawe ulivyo! Wewe nawe ni mwanamke? Sawa lazima ushangilie kwani mfumo dume utakuwa umekukondesha hasa kama una vielement vya tarime! Hongera kwa kunyooshewa!
 
Anazidi kung'ara tu coz walishajipanga.....dereva wa tano c alisema huku nje watamshughulikia......tumeanza kuona.
 
Back
Top Bottom