Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Acha kujitoa ufahamu mkuu, wewe unaweza kumwambia mzazi wako "una tabia za hovyo" halafu akakuvumilia? Anaposema ipo siku Rais atawaambia wake kwa waume watembee vifua wazi ni kama anataka kutuaminisha nini?
Heeee... kwani rais ni baba yake Halima? Mbona mie najua kuwa aligombea ili achaguliwe na wananchi, ili baadaye akiharibu wamkosoe ipasavyo?! Au utaratibu ulikuja kubadilika akapigiwa kura na wanae tu? Lakini sasa kama ndio hivyo, mbona kuna wazee wa 70yrs na 80yrs walioneka wakipiga kura?! Nao pia ni watoto wake? Hawaruhusiwi pia kumkosoa baba yao?!
 
Halima is very smart... one of the smartest person in this world... unlike watu wengine wanaojitapa kuwa wameenda shule mpaka kiwango cha juu ya gorofa huko sijui, lakini kichwani ni zero kabisa, kila wakifungua midomo yao tu, matapishi ya kinyaaa kabisa ndio yanayotoka huko midomoni mwao...
Maneno yako yanafanana na Halima, ndege wanaofanana....!
 
Hata kama Rais ana element za siasa za chuki lakini sio kwa kushambuliwa kwa namna wanavyofanya wapinzani. Rais ni taasisi kumbuka.

Rais anatakiwa apingwe vikali sana pale anapotaka kuvunja sheria za nchi, Watanzania wasipopinga sasa, watajuta sasa na vizazi vijavyo, maana msingi wa kutojali haki na sheria utaota na kuzaa matunda machungu sana kwa taifa hili. Suala la kujadili hapa ni namna gani Mh. Rais atapingwa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Kama alivyokuambia Jaslaws, watanzania gani? Tena sisi wengine (mtanzania mie mmojawapo), mtuache kabisa msituingize kwenye hizi comment zenu ambazo ziko logically inconsistenct

Serikali/viongozi wengi = chuki
Kiongozi mkuu = kauli za chuki most of the time
etc etc
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huenda president akawa na mapungufu lakini kuna mengi mazuri anatufanyia Kwa hiyo mimi nadhani tumshauri kwa utaratibu mzuri siyo kumtukana au kumdhalilisha kazi anayofanya ni ngumu sana na ni faida kwa Tanzania yote...
 
Back
Top Bottom