Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Ub

Ubabe, kutisha watu, uonevu, uongo, unafiki... ndio mambo mnayoweza tu! Pathetic!!
Ubabe ni upande huo usiotaka kutii sheria, ili wapate huruma ya wananchi kuwa wanaonewa.

Hakika na mimi mtu wa kawaida ukiniita wa hovyo, nitakufikisha kwenye vyombo vya sheria ueleza nilivyo hovyo.

Mnachoweza ni kuropoka tu humu jamvini, wakati mnao watetea wanasoteshwa raumande.
 
...hivi hii nadharia kwamba watu wakipiga kura kumchagua mtu awe kiongozi wao basi huyo kiongozi ni 'mzazi' wa hao watu inatoka wapi?! Yani kwamba anakuwa mzazi wenu, mara sijui baba, kama vile amewazaa na kwa hiyo anauwezo wa kuwaongoza kama familia yake aliyozaa na kupanga masharti yake yeye mwenyewe...!
 
Ubabe ni upande huo usiotaka kutii sheria, ili wapate huruma ya wananchi kuwa wanaonewa.

Hakika na mimi mtu wa kawaida ukiniita wa hovyo, nitakufikisha kwenye vyombo vya sheria ueleza nilivyo hovyo.

Mnachoweza ni kuropoka tu humu jamvini, wakati mnao watetea wanasoteshwa raumande.
Pathetic!
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Siasa za chuki za Mdee ni zipi? Zitaje japo kidogo
 
Tatizo lako unafikiri kuwa ukosefu wa adabu ndio kutumia akili vizuri. Kama umelelewa vizuri utajua kuheshimu watu, nayo ni akili nzuri, kama kila mtu unamuona sawa na wewe tu, sio sawa.
I bet! Hujui maana halisi ya Heshima! Ungeijua usingeongea hiki ulichopost hapa! Heshima ni 2 ways channel! Namuheshimu anaeniheshimu, Sina haja ya kumuheshimu asieniheshimu, hairakuwa Heshima Bali nidhamu ya uoga na huo ni upu.mbavu! Baba ukitaka uheshimike na upendwe nawe Fanya hivyo hivyo, otherwise huo ni Ukoloni!
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Chuki gani aliyofanya halima? Hivi kuna mtu mwenye chuki km huyo mnaemwita nani enu sijui. Ukisikia unafiki ndo huo.
 
Huyu dada hajapata mwanaume wa kweli akamtia dudu hadi azimie! Naona anahangaika sasa kama wale wanafunzi wa kike wanaosoma shule ya jinsia moja bila boys. Ataanza kuangukaanguka soon, wanaume wa dar es salaam mshughulikie huyu dada
We walipokutatua MARINDA njemba zaidi ya sita ulizimia?
 
Kulikuwa na ka - president kajuaji pale chini kaliitwa Chiluba. Mwisho wake naamini wengi wanaujua. Kalikufa kibudu. Shubamiiit!
 
Ukome kumuita Rais wetu wa JMT ' Kinyago ' sawa? au undhani na sisi hatuyajui ' mapungufu ' na ' madhaifu ' ya Edward N. Lowassa? Rais aheshimiwe tafadhali sawa? Yaani kabisa unamuita Rais wetu Kinyago? Umeshaharibu siku yangu tayari. Nitarudi.
Unajua kuchamba
 
Wacheni woga serikali ni yenu. Wacheni kutumia madaraka yenu vibaya. Kuna mambo mengi munayoweza kufanya mazuri yenye faida kwa Nchi.
 
Sijawahi kumsikia mh mbowe anaongea utumbo hata Kama amekasilishwa...


Hua anajitahidi kujenga hoja ambazo baadae hua mkuki mchungu kwa maadui zake kisiasa

Wapinzani wa bongo jitahidini kupitia njia za mh huyu na mtaheshimika zaidi ya maadui zenu kisiasa Kama YEYE.
 
Hivi rais ni nani asiyetaka kukosolewa,yeye ni malaika,yeye mtukufu,in multi party democracy lazima rais akubali kuwa na ngozi ngumu
 
Back
Top Bottom