My number 1 must earn my respect,sio kulazimisha respect,ni lazima aheshimu taasisi ya urais,ili watanzania nasi tutambue hilo,sio kulazimisha heshima.upinzani ni kioo cha government of the day,wapinzani ni watanzania sio refuges ambao nao wanawajibika kuongea but within sheria zetu ndani ya sheria mama ,katiba again slowly tunajenga taifa la chuki,fujo,hakuna upendo na mavuno yake next generations wataishi hivyo,mifano ipo mingi tu .