Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Siku mbili za Halima Mdee rumande Oysterbay

Hata kama Rais ana element za siasa za chuki lakini sio kwa kushambuliwa kwa namna wanavyofanya wapinzani. Rais ni taasisi kumbuka.
Upumbavu mkubwa huu! Lugha yake ya kukosa staha ndio inayozalisha majibu anayopata. Eti urais ni taasisi! Yaani taasisi ndio iheshimiwe kuliko heshima ya MTU mmoja mmoja?
Mtatuambia sasa kuwa hata Mirembe ni taasisi hivyo iheshimiwe kuliko anavyo heshimiwa utu wake MTU mmojammoja
 
Atanyooka tu. Ipo siku mtanambua. Mass support anayo itafta siya kijinga hivyo.
 
Halima, you are one of the smartest person in this world... hongera sana... wazazi wako lazima wako very proud, pesa iliyotumika kukupeleka shule umeitendea haki sana. Mungu atakubariki zaidi na zaidi, wala hauhitaji kuombewa na mtu, Mungu yuko pamoja nawe tayari.
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Hata siasa za kukomoana hatutaki, kwani wewe nani hadi uamue kutusemea Watanzania?
 
Utamueleza ukweli ahache kutukana.


Basi tumshauli Halima atumie njia hiyo hiyo ya kueleza ukweli kwa kutumia hekima na lugha za heshima. Tatizo la huyu Binti ni bagi na kusema ukweli nafasi yake haitendei haki
 
Basi tumshauli Halima atumie njia hiyo hiyo ya kueleza ukweli kwa kutumia hekima na lugha za heshima. Tatizo la huyu Binti ni bagi na kusema ukweli nafasi yake haitendei haki

Kamueleza ukweli.
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Mwenye siasa za chuki ni Magu na chama chake cha CCM.

Kumuweka rumande mbunge Mdee ni sawa na kumpiga teke chura .
 
Kamueleza ukweli.


Hapana mkuu. Uwezi kumwambia baba yako anaropoka anaongea hovyo ukajiona una hekima. Mbona wapo wakosoaji wengi hatuwaoni kupelekwa ndani? Kuna mbunge gani wa upinzani hakosoi raisi? Je wanawekwa wote ndani? Hapana mkuu nasomaga post zako uwa nakuamini lakini ukiunga mkono anayofanya Halima haitakuwa sawa. Ni heri kukaa kimya
 
Halima Mdee lazima abadilike, watanzania sasa hivi hatutaki siasa za chuki. Hata kama Rais anakosea, kuna njia nzuri za kumpinga lakini sio kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
Watanzania wapi hao,Wewe na mchepuko wako au?
Maana mimi nasema serikali ndio inakosea na ni Mtanzania
 
Back
Top Bottom