Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Uongozi wa kijinga ndio hasara zaidi.Busara hazikuzi uchumi
Uongozi wa kijinga ndio hasara zaidi.Busara hazikuzi uchumi
Hayo makundi yaliasisiwa na mwendazake. Watu wasiojulikana ndio hao hao wanarudi kwa style hii maana mungu wao keshawaacha. Lakini kwasababu mama haamini katika kumwaga damu za raia wake na kuwapoteza watu kama inavyoweza kupotea sindano ya kushonea nguo, wasujudia mwendazake wanataka kumtikisa mama. Hamtaweza."Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Basi kesho jumapili atafufuka. Umefurahi sasa?Ni wizi kila konaView attachment 1777314View attachment 1777315
Kwa taarifa yako sio kwamba hayo matukio ya ujambazi hayakuwepo enzi za mwendazake, ila ilikuwa ni marufuku kwa chombo chochote cha habari au jeshi la polisi kutoa habari zozote zinazohusiana na ujambazi hasa hasa pale ambapo majambazi yatafanikiwa kutekeleza adhma yao. Ndio maana taarifa nyingi za polisi kupambana na ujambazi zilikuwa zinafanana, zote zilikuwa za kulifanya jeshi la polisi lionekane limefanikiwa kudhibiti ujambazi
Furaha imeongezeka maradufu" tangu aondoke.Mengine tutarekebishana tu.
Umeambiwa matukio hayo yalikuwepo isipokuwa upashanaji habari ndio changamoto. Wewe kama akili unazo, unatoaje hizo taarifa hadi watu wengine wasiokuwepo hapo wasikie? Huna akili kabisa.wewe huna akili majambazi wakiteka magari utajua tu hata polisi wakificha majambazi yakivamia sehemu utajua tu maana wananchi si wanaona hata polisi wakificha sio kweli wakati wa makufuli ujambazi uliisha kabisa
Coronavirus imemuhofia vipi Magufuri,wakati ndiyo iliyomuondoa?,nyie viumbe wa ajabu sana aisee.
Hakuna mtu aliyekuwa mpumbavu Kama yule mzee unayemsifia."Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Hatuwezi kuangalia Vitabu vingine ambavyo ni VIBOVU.Huu ukurasa wa hayati haujafungwa tu, bungeni nako wanaambizana kila siku tumuachie mheshimiwa rais Samia Suluhu afanye kazi yake.
Kila zama na kitabu chake, kitabu cha mwendazake kimefungwa. Tuangalie vitabu vingine sasa.
Sasa vitabu vibovu wapi, wanachama wenzake huko bungeni wameshachoka na hiyo mijadala.Ndo maana wanataka huo ukurasa ufungwe.Hatuwezi kuangalia Vitabu vingine ambavyo ni VIBOVU.
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?Hamna kama Magufuli aise! Huo ulikuwa moto mwingine untouchable
Nchi ina furaha"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Mfano mdogo ni ripoti ya CAG kuhusu hasara ya ATCL wakati kipindi cha mwendazake tuliambiwa kila mwaka inaingiza faidaK
Hivi, ni kitu gani kimewekwa wazi sasa awamu hii? Twambie na sisi tuone, au jaribu kulinganisha tuelewe. Usidhanie tu, kipi kikowazi na wakati wa Magufuli hakikuwa?