Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Tunakemea na tunalaani kitendo kilichofanywa na Wafuasi wa Lowassa na Ccm wilayani Monduli cha kumteka na kumtesa kijana wa Chadema ambaye pia ni kiongozi wa Vijana wa Chadema Arusha wajisalimishe polisi.
Tunatoa siku 14 anzia leo tarehe 29th Sept 2011 kama serikali itaona kilichofanyika ni sawa basi yatakayoikumba Serikali na Nchi asilaumiwe mtu.Hili haliwezi kuvumilika na pia imefika wakati sasa Ccm ielewe kuwa kama ni fujo tunazijua sana tena sana tuu pia tumechoka sana tunaomba msitufikishe kwenye kulipizana visasi.
Tuna uwezo wa kufanya hii nchi isitawalike tena,vyombo vyote vya Usalama visiwasaidie chochote.
Kikwete waambie hawa Ccm wenzio amani tunaipenda lakini msitupatie machungu zaidi ya wizi na uchafu mliokwisha fanya wa kuuza na kutaifisha rasilimali zote za nchi. Pia Magufuli elewa Kila Goti Litapigwa na kamwe usiwadanganye wana Igunga kuwa utawasaidia sasa, mlikuwa wapi miaka 50?
Tunatoa siku 14 anzia leo tarehe 29th Sept 2011 kama serikali itaona kilichofanyika ni sawa basi yatakayoikumba Serikali na Nchi asilaumiwe mtu.Hili haliwezi kuvumilika na pia imefika wakati sasa Ccm ielewe kuwa kama ni fujo tunazijua sana tena sana tuu pia tumechoka sana tunaomba msitufikishe kwenye kulipizana visasi.
Tuna uwezo wa kufanya hii nchi isitawalike tena,vyombo vyote vya Usalama visiwasaidie chochote.
Kikwete waambie hawa Ccm wenzio amani tunaipenda lakini msitupatie machungu zaidi ya wizi na uchafu mliokwisha fanya wa kuuza na kutaifisha rasilimali zote za nchi. Pia Magufuli elewa Kila Goti Litapigwa na kamwe usiwadanganye wana Igunga kuwa utawasaidia sasa, mlikuwa wapi miaka 50?