Sikio la kufa halisikii dawa, unapumzisha wachezaji kwa ajili ya nusu fainali na unakandwa kama kawaida

Mtanzanias

JF-Expert Member
Jul 30, 2021
1,747
3,723
Robertinho bado ni kocha mwenye mapungufu mengi, wanaomfananisha na Nabi naona wanasukumwa na mihemko ya kishabiki na sio uhalisia.

Mechi na Namungo akupaswa kufanya utoto kama ule eti anawapumzisha wachezaji wa kikosi cha kwanza kwa ajili ya Nusu Fainali Azam Federation, unatakiwa ushike kwanza kilichopo mbele yako ndio upange mipango ya kinachofata.

Kama Simba ingeshinda mechi na Namungo ingeongeza presha kwa Yanga na lolote lingeweza kutokea kwenye mpira angalau kuweka hai matumaini ya kuufukuzia ubingwa.

Matokeo yake kairahisishia kazi Yanga ya kibeba Ubingwa na bado hapo hapo Kombe alilokuwa analipigia hesabu nalo katandikwa ipasavyo, sasa faida yake nini? Msimu huu Simba inatoka patupu kwa mara nyingine!

Unaacha kumpanga kipa mwenye uzoefu kakolanya unampanga kipa anayesumbuliwa na tatizo la uzoefu? Eti kwa kuwa kasaini Singida Big Stars🤔🤔, huyo dogo ndiye kawacost Simba pakubwa kwenye mechi muhimu.

Sidhani kama kakolanya angefanya makosa kama anayofanya dogo mara kwa mara, na hata mechi ingeenda matuta bado Azam walikuwa na uhakika wa kusonga mbele.

Kuanzia mechi na Ihefu, Yanga na Whydad ambazo dogo anasifiwa eti alifanya vizuri ni mechi ambazo alikuwa analindwa sana na mabeki pamoja na viungo maana walikuwa wanajua wakiruhusu apokee mashambulizi ya mara kwa mara ingekuwa ni maafa.

Sasa basi wajipange msimu ujao, na kocha huyu sio mzuri kwenye sub zake, ndio maana Nabi anabaki kuwa Profesa wa mpira kwa sasa.
 
Robertinho bado ni kocha mwenye mapungufu mengi, wanaomfananisha na Nabi naona wanasukumwa na mihemko ya kishabiki na sio uhalisia,
Mechi na namungo akupaswa kufanya utoto kama ule eti anawapmzisha wachezaji wa kikosi cha kwanza kwa ajili ya nusu fainali Azam federation, Unatakiwa ushike kwanza kilichopo mbele yako ndio upange mipango ya kinachofata, Kama simba ingeshinda mechi na Namungo ingeongeza presha kwa yanga na lolote lingeweza kutokea kwenye mpira angalau kuweka hai matumaini ya kuufukuzia ubingwa,
Matokeo yake kairahisishia kazi yanga ya kibeba ubingwa na bado hapo hapo kombe alilokuwa analipigia hesabu nalo katandikwa ipasavyo, sasa faida yake nini? Msimu huu simba inatoka patupu kwa mara nyingine!
Unaacha kumpanga kipa mwenye uzoefu kakolanya unampanga kipa anayesumbuliwa na tatizo la uzoefu? Eti kwa kuwa kasaini singida big stars Uyo dogo ndiye kawacost simba pakubwa kwenye mechi muhimu sidhani kama kakolanya angefanya makosa kama anayofanya dogo mara kwa mara, na ata mechi ingeenda matuta bado Azam walikuwa na uhakika wa kusonga mbele.
Kuanzia mechi na ihefu, yanga na whydad ambazo dogo anasifiwa eti alifanya vizuri ni mechi ambazo alikuwa analindwa sana na mabeki pamoja na viungo maana walikuwa wanajua wakiruhusu apokee mashambulizi ya mara kwa mara ingekuwa ni maafa,
Sasa basi wajipange msimu ujao, na kocha uyu sio mzuri kwenye sub zake ndio maana Nabi anabaki kuwa profesa wa mpira kwa sasa
Hesabu zimekataa tu, kufeli kupo Mkuu.
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULATA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

Sijui wanemuachaje kakolanya yani.


ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
 
Naona mmepewa bahasha na Azam.....!!!, Timu ni mbovu hiyo hata angepewa Zizuu bado angepigwa. Unategemea wachezaji Kama Saido 40+ years, chama 35+ wote Hawa ndio tegemeo la Simba wakipwaya na kukamiwa kila hatua uwanjani timu inakuwa mbovu....!. Chama na saido walipaswa kuwapisha vijana Kama Sakho na Okrah wakimbize hizo beki za azamu zenye makosa mengi.

Mashabiki wa Simba ndio mmemfanya Roberthno kuwa mbovu na muoga kufanya sub... Mlimzomea na kumpigia kelele siku zile kwenye sub ya Chama na naamini ameamua kuwaonesha kuwa ukocha ni professional na ushabiki.
 
Ni ujinga sana kuamini unaweza ukawa na akili kubwa nje ya uwanja kuliko Robertinho.
Robertinho ana akili kubwa sana nje ya uwanja ndio maana amebeba makombe yote, FA, NBC, CAF CCC, na kombe jingine la kufa kiume!
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULATA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

Sijui wanemuachaje kakolanya yani.


ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
Tayari kimenuka!! 😁
 
Back
Top Bottom