Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,286
- 3,018
Tanzania ndio association pekee iliyopeleka timu mbili robo fainali klabu bingwa na hii inaonesha kukuwa kwa vilabu vyetu. La pili naona utawala wa timu za kiarabu zinaanza kutokomea kwenye michuano ya CAF, tuliona kwenye AFCON jambo hilo na huku champions league naona imejirudia.
Ni timu mbili pekee za kiarabu zilizofanikiwa kutoboa kucheza robo fainali, kwasasa timu ambayo Simba na Yanga hawatamani kukutana nayo ni Mamelod, na kwa nafasi waliokuwa nayo Simba na Yanga ni bahati tu iamue kikombe hiki kikiwaepusha nacho timu hizi za Kariakoo. Mamelod ndio iliyokamilika kwasasa tofauti na Al Ahly ambayo kwasasa kule mbele inekuwa timu inayokosa umakini kabisa katika kumalizia mipira. Mechi zao zote wamekuwa watengenezaji wa nafasi nyingi ila kuzitumia wanashindwa.
Wananchi na wekundu wa Msimbazi safari zenu za nusu fainali zipo mkononi mwa kikombe cha Mamelod. Atakaye pangwa na Mamelod hiyo baba Jeni baibai. Tukutane kwenye draw ila upande wangu natabiri timu moja ya Tanzania itapewa Mamelod.
Ni timu mbili pekee za kiarabu zilizofanikiwa kutoboa kucheza robo fainali, kwasasa timu ambayo Simba na Yanga hawatamani kukutana nayo ni Mamelod, na kwa nafasi waliokuwa nayo Simba na Yanga ni bahati tu iamue kikombe hiki kikiwaepusha nacho timu hizi za Kariakoo. Mamelod ndio iliyokamilika kwasasa tofauti na Al Ahly ambayo kwasasa kule mbele inekuwa timu inayokosa umakini kabisa katika kumalizia mipira. Mechi zao zote wamekuwa watengenezaji wa nafasi nyingi ila kuzitumia wanashindwa.
Wananchi na wekundu wa Msimbazi safari zenu za nusu fainali zipo mkononi mwa kikombe cha Mamelod. Atakaye pangwa na Mamelod hiyo baba Jeni baibai. Tukutane kwenye draw ila upande wangu natabiri timu moja ya Tanzania itapewa Mamelod.