Alipaswa kusema where is located?
Where is it located?
Alipaswa kusema where is located?
uko sawa kaka,haujakosea ,sema where does it located? ni kosa kubwa la lugha.
Kukosoa ni kudhalilisha?
Kwa mwalimu tena mhitimu wa chuo kikuu haikubaliki
Ukitetea kuchapia huku hata akisema Kibaha ipo Tanga utamtetea
Kumbuka anayefundishwa ataamini hivyo
Mwalimu anatakiwa afundishe kilicho sahihi
Tuache kuchakachua na kuungaunga mambo
Niliwahi kumsikia mwingine akifundisha F2 geography akasema hivi: the earth rotate in its own axis. It go, it go, it stops. Wakati anasema hivyo na yeye anajizungusha.
Kukosoa ni kudhalilisha?
Kwa mwalimu tena mhitimu wa chuo kikuu haikubaliki
Ukitetea kuchapia huku hata akisema Kibaha ipo Tanga utamtetea
Kumbuka anayefundishwa ataamini hivyo
Mwalimu anatakiwa afundishe kilicho sahihi
Tuache kuchakachua na kuungaunga mambo
Nakumbuka kipindi kile me naanza Form ONE- Wazazi wangu walininunulia Dictionary ya OXFORD pamoja na kitabu cha "Common mistakes in English" lakini wazazi wa siku hizi wanafurahia tu watoto wao kufauru Darasa la Saba lakini wanashindwa kuwanunulia Zana muhimu Za Lugha ya kigeni.afadhali umekuja mkuu MSEZA MKULU unisaidie kutoa darasa maana hizi shule za kata zimechangia sana kuua elimu yetu kwa makusudi.
Nakumbuka kipindi kile me naanza Form ONE- Wazazi wangu walininunulia Dictionary ya OXFORD pamoja na kitabu cha "Common mistakes in English" lakini wazazi wa siku hizi wanafurahia tu watoto wao kufauru Darasa la Saba lakini wanashindwa kuwanunulia Zana muhimu Za Lugha ya kigeni.
TANO: wewe unaona alichokitamka msomi huyu wa chuo kikuu mwenye digrii ya daraja la kwanza ni sahihi? sio hatari kwa msomi kama huyu kuwafundisha wanafunzi wake kingereza kibovu?
SITA: tusiangalie tulipoangukia bali tuzingatie pale tulipojikwalia. mfumo wa elimu yetu ulivurugwa tangu utawala wa Nyerere na waliomfuatia wamezidi kuididimiza zaidi elimu yetu. hapa ndipo tunapaswa kuanzia kutatulia ubovu wa elimu hii mbovu tunayoirithisha kwa vizazi vyetu.
cc: FaizaFoxy
Ujinga kwa Mwaafrika ni ndani ya genes.
Hauna dawa.
umeona eeh? hata mimi nawashangaa watu wanaotetea uzembe kama huu bila kuangalia athari yake kwa jamii.
ni kweli kabisa mkuu. ni hatari kwa mwalimu kama huyu kuwafundisha watoto wa form 1 maana watakariri makosa haya na kwenda nayo hadi chuo kikuu. ndio maana kuna baadhi wasomi wa chuo kikuu humu wanaotetea uchapiaji wa kikanyaboya kama huu ama kwa kujua au kutokujua. ikifikia msomi wa chuo kikuu anafanya obvious BLUNDER kama hii halafu anatetewa na wasomi wenzake ujue kwamba kuna tatizo kubwa katika elimu yetu kwa ujumla.
mimi naomba unifahamishe hapo kwenye hayo maneno uliyotumia hapo ..kiingereza chako kizito mno sijakielewa mkuu... "ikifikia msomi wa chuo kikuu anafanya obvious BLUNDER" ..HAPO KWENYE ""OBVIOUS BLUNDER"" NDIO NINI HAPO!!!??... Naomba jawabu tafadhali..
Unafikiri nini kifanyike, kunusuru Taifa na janga hili?