Kuanzia sasa tbc wanataka kujiunga na watangazaji waliopo kigoma,kutuletea matangazo ya kuzimwa kwa mwenge na kikwete,hivi hawana taarifa kuwa kuna mdahalo pale nkrumah udsm wenye tija kwa taifa hasa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu?au ndio wanataka kupiga kampeni kwa kikwete chini ya kivuli cha kuzima mwenge?huko kigoma kuna mjadala au mdahalo gani wa kuupita huo wa hapo udsm?