AsanteDah inasikitisha sana Mungu aendelee kuwa na wewe InshaAllah
AsanteJitahidi Kwa hilo.....
AsantePole sana hatujui kesho . Mungu akujalie afya njema na uwezo wankuendelea kuwalea watoto
AsanteMmmmmhh pole yote yanawezekana mungu yupo nawe
Asantepole sana asee mungu akupe juhud na maarifa kuwaendlza hao watoto
Daa hapana aisee coz hata huku kutakuwa na watu wanaomfahamu isije anzisha mezozo kwa ndugu wa shemeji yangu marehemu pindi watakapoona hyo picha ,coz nao waliwakata watoto nakusema hawataki kukaa naoPicha ya shemeji aliyekufa kwa ngoma.
Asante ndugu yangupole sana mkuu
AsantePole sana, utapata dhawabu kwa Mungu kwa kuwalea viumbe hao
Asante kwa kuniitaa chizii mkuu ubarikiwe sana sana na mungu coz ujui ukisemachoHuyo kaka yako naye alikuwa chizi tu kama wewe unakwenda ng'ambo mke unamuacha, kwahiyo ulitegemea huyo mke akae tu bila kupigwa kitu kwa miaka yote ambayo huyo kaka yako alitazamia kukaa huko majuu.
Daa kiukweli mkuu kuona nimepatanga mpk huyu mtt mkubwa amalize 4m4 na huyu mwingine atakuwa naye kamaliza shule ya msingi swala LA kuoa kwa ss halipo nipo kuwasaidia kwanza hawa watt kama baba yao alivyojitolea nami kunisaidia naaamin mungu atanishika mkoniUmeoa? Kama yes, mkeo anakupa support juu ya watoto? Kama bado tegemea changamoto pale utakapooa
AsantePole sana Inno....
Mungu atakurudishia kwa wema wakoAsante
AsanteMungu atakurudishia kwa wema wako