Sijui utarudi lini kaka

Sijui utarudi lini kaka

Kila jambo linalotokea maishani mwetu liwe baya kwa macho na hisia zetu au zuri, Mwenyezi Mungu anakuwa ameliruhusu kwa makusudi maalumu ambayo ukiendelea kuwa mtulivu kwake utakuja kuyaona na kumuelewa.
So ndugu mollel mshukuru Mungu sana kwa jambo hilo kwa maana anayo sababu nzuri sana uyapitie na uwatunze hao watoto.
Mwamini atakulipa sawa na mapenzi yake
Amen,na naninaamini kupitie mungu ,ubarikiwe kwa ushauri wako
 
Pole sana mkuu kwa mitihani yote hiyo, Mungu akusimamie na kuwalinda watoto muweze kufikia malengo yenu
 
Kwa kuwa baba Yao Ni wewe, wao sio yatima Kwa maana utawalea Kwa mapenzi yote....!
 
Kwa kuwa baba Yao Ni wewe, wao sio yatima Kwa maana utawalea Kwa mapenzi yote....!
Hakika ndicho ninachokifanya ili waone mm ndio baba yao na wasione pengo LA wazazi wao lipo wapii ,japo litakuwepo
 
Pole sana hatujui kesho . Mungu akujalie afya njema na uwezo wankuendelea kuwalea watoto
 
pole sana asee mungu akupe juhud na maarifa kuwaendlza hao watoto
 
Back
Top Bottom