innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 750
- Thread starter
- #21
No c hadithi n ukwelii mtupu mkuu wangukama ni kweli je ?
No c hadithi n ukwelii mtupu mkuu wangukama ni kweli je ?
Amen,na naninaamini kupitie mungu ,ubarikiwe kwa ushauri wakoKila jambo linalotokea maishani mwetu liwe baya kwa macho na hisia zetu au zuri, Mwenyezi Mungu anakuwa ameliruhusu kwa makusudi maalumu ambayo ukiendelea kuwa mtulivu kwake utakuja kuyaona na kumuelewa.
So ndugu mollel mshukuru Mungu sana kwa jambo hilo kwa maana anayo sababu nzuri sana uyapitie na uwatunze hao watoto.
Mwamini atakulipa sawa na mapenzi yake
Ukweli mkuu wangu hii si hadithi ,hadithi mwachie shigongo ndugu mm si mtaalamu wa kutunga hadithi ilaa nilichokiandika ndicho kilichotokeaNi kweli au hadithi?
Jamani pole, ebu tupiamo na kapicha tuone?!Ukweli mkuu wangu hii si hadithi ,hadithi mwachie shigongo ndugu mm si mtaalamu wa kutunga hadithi ilaa nilichokiandika ndicho kilichotokea
Pole ndugu coz ndio changamoto nilizopitia na bado na pambana kuwalea watoto na kuwasomesha wafike malengo ambayo baba yao alitaman wafikeMpaka chozi limenitoka.
Picha ya nn tena mkuuJamani pole, ebu tupiamo na kapicha tuone?!
Amen na amini hata nitupa mpk nitakapowatimizia hawa watoto ndoto zaoPole sana mkuu kwa mitihani yote hiyo, Mungu akusimamie na kuwalinda watoto muweze kufikia malengo yenu
Hakika ndicho ninachokifanya ili waone mm ndio baba yao na wasione pengo LA wazazi wao lipo wapii ,japo litakuwepoKwa kuwa baba Yao Ni wewe, wao sio yatima Kwa maana utawalea Kwa mapenzi yote....!
Jitahidi Kwa hilo.....Hakika ndicho ninachokifanya ili waone mm ndio baba yao na wasione pengo LA wazazi wao lipo wapii ,japo litakuwepo
Picha ya shemeji aliyekufa kwa ngoma.Picha ya nn tena mkuu