Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Aiseee,jana tu umekuja kutafuta mpnz ktka hili jukwaa na ulisema umri wako ni miaka 26.saiv unatuambia una 22.

rubylove said:
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa..angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


https://www.jamiiforums.com/threads/nimechoka-kumsubiri-nahitaji-kuolewa.992711/
hahaaa! Jf kwa drama hawajambo. Huyu bint ameamua kukalisha kikojoleo chake na kuaongea uongo? Shenzy kabisa
 
Aiseee,jana tu umekuja kutafuta mpnz ktka hili jukwaa na ulisema umri wako ni miaka 26.saiv unatuambia una 22.

rubylove said:
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa..angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


https://www.jamiiforums.com/threads/nimechoka-kumsubiri-nahitaji-kuolewa.992711/
Afadhali,mwenyewe nimeuona huu uzi...
 
Muulize huyo huyo anaekuhonga kama atakudai

Kwani hii story ni ya lini mbona mnanichanganya?

Nachojua demu alipokea, na kashagongwa si chini ya mara 7 na nusu (hii nusu ni romance ambayo vidude havijakutanishwa).

Au alete mrejesho kama unabisha
 
Kwani hii story ni ya lini mbona mnanichanganya?

Nachojua demu alipokea, na kashagongwa si chini ya mara 7 na nusu (hii nusu ni romance ambayo vidude havijakutanishwa).

Au alete mrejesho kama unabisha
Duuu...kuna wadau wana reference kinoma.
 
Aiseee,jana tu umekuja kutafuta mpnz ktka hili jukwaa na ulisema umri wako ni miaka 26.saiv unatuambia una 22.

rubylove said:
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa..angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


https://www.jamiiforums.com/threads/nimechoka-kumsubiri-nahitaji-kuolewa.992711/
Hii tabia ya kuwafanya watu mapopoma sijui itaisha lini,jitu linaposti uzi linasema hivi kesho linaposti kitu kingine linadhani watu hawasomi,jitu kingine lina copy na kupaste uzi wa mtu mwingine linajifanya limeanzisha lenyewe,yanakera sana aisee.
 
Aiseee,jana tu umekuja kutafuta mpnz ktka hili jukwaa na ulisema umri wako ni miaka 26.saiv unatuambia una 22.

rubylove said:
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa..angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


https://www.jamiiforums.com/threads/nimechoka-kumsubiri-nahitaji-kuolewa.992711/
Hii ni ya June 2015 huyu jamaa ndo kaianzisha tena (Bonyeza)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom