Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Bear in mind, UKIMWI upo! Huwezi jua anang'ang'ania kukupa zawadi gani, manake hata virusi navyo ni zawadi...

Uwiiii umenitisha mimi nimeahidiwa zawadi seem afu unasema ukimwi mweee mtani
 
Uwiiii umenitisha mimi nimeahidiwa zawadi seem afu unasema ukimwi mweee mtani


Mtani upo? Mbona kila nikipita sikuoni mtaani? Alafu nina zawadi yako! Teeeh!
 
Kama anajipendekeza wewe mkaushie. Usipende sana waume za watu. Jua fika waume za watu ni sumu so kuwa makini.
Ukimchuna ujue na wewe kuna siku utatolewa ngozi kabisa.
FIKIRIA THEN CHUKUA HATUA.

mmmm waume za watu wameanza lini kuwa sumu? Jamani mme wa mtu si maziwa? Eti mme wa mtu kwana anaempenda si mtu? Au mnyama???
 
mmmm waume za watu wameanza lini kuwa sumu? Jamani mme wa mtu si maziwa? Eti mme wa mtu kwana anaempenda si mtu? Au mnyama???


endelea kuhisi ni maziwa ikikufika utakuja kuelezea hapa jinsi ulivyo yanywa hayo maziwa.

Go on and on never mind my opinion.
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.

hujielewi wewe!!
 
km humtaki mtu usimlie vitu vyake..hzo njaa njaa na tamaa ndio zinawaponzaga
 
ukila tu jua utaliwa binti.... sasa kama hutaki kuliwa acha kupokea zawadi.. zawadi nyingine utazifuata na once umezifuata utavuliwa chupi tu

unaongea point. Lakn kwan akimpata mtu wa kumsaidia kumvua kuna ubaya gani?
 
unaongea point. Lakn kwan akimpata mtu wa kumsaidia kumvua kuna ubaya gani?
avuliwe kwa kupenda ila si ale ahalafu aliwe ha haha inauma .. kuna walaji wengine wanakula kwa kukomoa yani utajuta
 
avuliwe kwa kupenda ila si ale ahalafu aliwe ha haha inauma .. kuna walaji wengine wanakula kwa kukomoa yani utajuta
hahahaaaa! Mkuu inaonesha umewahi kukumbana na sekeseke hilo.
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.
Inshue Rahisi Kma Una Maanisha Usimjibu Kwa Chochote, Mean Hata Akiuliza Nikuletee? Wee Nyamaza!! Pia Utamwambiaje Si Umeoa Wakat Aumpend? Angekua Ajao Ungemkubal? Mwmbie Ukwel Aumpend Then Mpotezeee Kma Unamaanisha.
 
Aiseee,jana tu umekuja kutafuta mpnz ktka hili jukwaa na ulisema umri wako ni miaka 26.saiv unatuambia una 22.

rubylove said:
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa..angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


https://www.jamiiforums.com/threads/nimechoka-kumsubiri-nahitaji-kuolewa.992711/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom