Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Nilie tu vitu vyangu wala ctakufanya chochote wana jamvi wasikutishe
 
Kula nawe uliwe papuchi, humtaki sasa vitu vyake wavitaka nini? sio boga hulipendi alafu wapenda uwa pyee tamaa mbaya dogo
 
Huyu kaja hapa kupata kibali cha kufanya ufuska
ila kaanza kuingiwa na vizawadi na kusumbuliwa sumbulia

kwanza nakushauri ..ki umri bado mdogo, kikazi kama unataka ukomae kwa mwendo wa kupigwa pumbu , nakuhakikishia ukifika by 30, utakua umekubuhu umekomaa, una mtoto, una hela , ila ngumu kuolewa maana mwenendo wako ume stipulate kwenye maisha ya usingle sana na kuzoea ku sleep around na wenye hela ( ambao wengi sio waowaji maana wameshaoa)

kama ungekua umesimama kimsimamo yan ata umu usingekuja mana ungejua pakusimama na kumpotezea
 
Kama unataka kumchuna ukubali pia kuwa mi lazima umvulie chupi. Ni barter system all the way!
 
Mtumie hiki ulicho kiandika hapa afu uone atakujibu nini kama kweli humpendi

Atakacho kujibu leta mrejesho afu sisi tutakazia
Copy paste afu mtumie ol da best
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.
Suseme tu kuwa ndio tabia yako ya kuchuna
 
Huyo keshakutengea bajeti. Ni sawa sawa na Koka wameshatenga bajeti ya matangazo bilioni kadhaa. Hata zikiliwa kampuni haiwezi kupata hasara kwa hilo coz ni bajeti ya kutumbuliwa tu hiyo. Kwa hiyo ukimchuna hutomtia hasara, so angalia wewe utapata faida au hasara gani...
 
Waulize wenzio waliopanda lifti wakawekewa dawa kwenye wine wakafanywa bila kutaka muoshwa huoshwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom