Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

huwezi kula cha mtu afu ukabaki salama...lazima nawe utaliwa tuu.kama unabisha jaribu uone
 
Halafu baada ya miezi kadhaa utakuja na Thread eti sijui nilimlia mume wa mtu hiki na hiki na yamenikuta haya na haya Naombeni Ushauri. (soma thread za wenzio humu walioanza kama wewe na sasa wanataka ushauri). We kama ni gf wa mtu na unajiheshimu kumfungia vioo uyo jamaa unaona shida gani??Unashindwa hata kumtisha kua utam report kwa mkuu wa kazi. Mabinti akili zenu mnazijua wenywe, so far mtoto wa 22yrs mpaka unauliza umlie ama usimlie ni TAMAA TU INAKUSUKUMA HAPO,
Mhuuu.
 

Shinda ako kasauti ka ndani ya moyo wako kanachokufanya uwaze NIMLIE ama NISIMLIE, ako katakusukuma pabaya maana Kanaonesha tayari umeshaingia tamaa mara baada ya kuviona anavyotaka kukuletea kila siku unavikataa.
 
mpotezee usimlie vyake ili ujiepushe na mengi, cha mtu hakiliwi bure, halafu mbaya zaidi mnafanya ofisi moja. ukila pesa zake lazm atataka mfanye mapenzi, ukimkatalia huwezi jua ana roho mbaya kiasi gani, anaweza akakufanyia chochote ambacho unaweza kuja jutia.
 
Bear in mind, UKIMWI upo! Huwezi jua anang'ang'ania kukupa zawadi gani, manake hata virusi navyo ni zawadi...
 
Mweleze kuwa humtaki na kataa zawadi zake kwani zitakuwa zinamuencourage kukufuatilia, hivyo usizipokee.
Kingine ni kuwa, ukiwa unazipokea atapata message kwamba unamtumia tuvkwa tamaa zako na hatakuheshimu na kukuona cheap. Kataa mpaka zawadi.
Akikata tamaa anaweza pia kukutangaza au kuzidai ukaaibika.
 
Bure ni misaada inayotolewa na UN.otherwise ukila cha mtu,shart nawe uliwe.
 
Usile mwaya mpotezee tu ukianza kula vyake utaliwa kiulainiiiii kama unanawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom