Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Sijui nimlie vitu vyake? Anajipendekeza

Hii tabia ya kuwafanya watu mapopoma sijui itaisha lini,jitu linaposti uzi linasema hivi kesho linaposti kitu kingine linadhani watu hawasomi,jitu kingine lina copy na kupaste uzi wa mtu mwingine linajifanya limeanzisha lenyewe,yanakera sana aisee.
sikuhizi mademu wanapenda sana kuwachezea akili wanaume hapa jf, ndo yule mwingine akaja PM zimejaa kumbe anapokuwa anapost anawachora tu akili, tustukeni wanaume wenzangu.
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.
Ukila tu lazima uliwe..umesahu usemi wa mkuu wa kaya aliyepita akisema "usipokubali kidogo huli...sasa wewe unataka kula bila ya kuliwa? Haiwezekani"
 
Nitumie kwanza namba zako ili tuongee tujue jinsi ya kumkanya
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.
Umri wako hata sishangai, wadada wengi mnaanza kujitambua mkushafika 25 ukishaona miaka inasonga na uzuri unayeyuka ndo adabu itaanza kuja.

Mwenzio nimemuyeyusha hivihivi mapiiiicha meeeengi akili zenyewe nusu robo.
 
Habari,

Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni mtu mzima.

Nikamwambia nina mchumba, sasa kila kitu nikuletee, mimi nakataa. Nimchune au nitadaiwa?

Simpendi, na kum-block nimem-block ila SMS huwa zinafika ila hakomi.

Hivi wewe miaka yako inaongezeka kwa miezi au!!? Maana nimeona post nyingine umesema una miaka 26 na unatafuta mwanaume wa kukuoa
 
huwezi kula bila kuliwa sasa we unatakula bila kuliwa haiwezekani; sinamaana hiyo qoets ya mr wa msoga a.k.a sukari yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom