Sijui nianzie wapi?

Sijui nianzie wapi?

kusema la ukweli kwanza wewe ndio mwanaume wa kweli!....ila kama amewai kuwakimbia mpaka watoto akatokomea kweli huyo ni pakaroad!
kama unaye mama mzazi aje awalee huyo atakuja kukufanya ufanye kitu cha ajabu uishie jela na watoto wawakose wote.
unaweza pata mke mwingine bora si wote wabaya tafuta mtu mzima kidogo walau aliyefiwa a mume au aliyetendwa na dunia na kabla pima ukimwi kwanza.....pia huyo mwaamke awe na mtoto....tangaza hapa hapa mbona siku haitapita na wanajf tutachangia harusi na tutakuja wala usikonde wangu...yapo sana haya..mi ni dada yako najua unayopitia,
 
Mkuu nina swali moja tu kwako.... Je katika maisha yenu ya ndoa haujawahi kumcheat??
 
Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
ila swala bado lipo pale pale, baada ya hayo yote then what shall I do? should I sacrifice my happiness so that my children are happy? or should I keep on searching till god say yes? totally confused.
Mkuu Kahema tuliza wahka ...its not the end of life !! You are still young at 35 yrs Life ndo taamu sana na wengi wanakutamaani !! tafuta kwa makini utapata na umpromise Love yako penzi jema akikaa na wanao vizuri!! utafanikiwa tu.... Halafu usifikirie ya nyuma ongoza mbele maisha yana songa mbele... "aliyemwaga mboga mwenyewe asikupotezee moods zako!! Hakuna kusamehesamehe..kwani hakuheshimu watoto wala hata ndoa yake!!
 
Kaka naona bora umpelekee watoto wake akae naona utasaidia matunzo lakini kumrudia usije Fanya kosa hawaaminiki hawa wanawake mapopobawa tu
 
Dunia ina milima na mabonde. Utapata ushauri mwingi sana lakin mwamuzi ni wewe. Kwa sasa tafuta mtu wa kukaa na watoto. Ukitulia tafakari kumuacha au kumrudia. Usioe wa kukulelea watoto, oa mwenzi wa maisha mojawapo iwe kulea watoto.(watoto isiwe driving force ya wewe kuoa). Pia hatupeleki watoto boarding baada ya kushindwa kuwalea, tunawapeleka baada ya kuweza kuwalea.Zaidi ya yote Mungu atakupa mlango wa kutokea kwenye jaribu hili ila nawe uwe mwaminifu.
 
Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
ila swala bado lipo pale pale, baada ya hayo yote then what shall I do? should I sacrifice my happiness so that my children are happy? or should I keep on searching till god say yes? totally confused.

Ok.
Ukishafanya hilo ss akili itatulia!
Then unaweza kufikiri cha kufanya coz nw unawaza watt!
Lkn watt wakishakua kwenye hali nzuri unaweza kufikiri nn cha kufanya!...

Kuhusu kuoa tena na kushauri tulia kwanza usifanye haraka!

Kuhusu kumrudia huyo inawezekana bt hakuna kushare chochote!
 
kusema la ukweli kwanza wewe ndio mwanaume wa kweli!....ila kama amewai kuwakimbia mpaka watoto akatokomea kweli huyo ni pakaroad!
kama unaye mama mzazi aje awalee huyo atakuja kukufanya ufanye kitu cha ajabu uishie jela na watoto wawakose wote.
unaweza pata mke mwingine bora si wote wabaya tafuta mtu mzima kidogo walau aliyefiwa a mume au aliyetendwa na dunia na kabla pima ukimwi kwanza.....pia huyo mwaamke awe na mtoto....tangaza hapa hapa mbona siku haitapita na wanajf tutachangia harusi na tutakuja wala usikonde wangu...yapo sana haya..mi ni dada yako najua unayopitia,

Asante sana kwa ushauri mzuri
 
Mkuu nina swali moja tu kwako.... Je katika maisha yenu ya ndoa haujawahi kumcheat??
never never,
worse enough hajawahi hata siku moja kunieleza kua simridhishi haja zake, Kazi nilipiga vizuri hilo hata yeye alikiri.
 
Umri wa watoto wote wa3, km ni chini ya miaka 7 inabidi uwaache na mama yao kipindi chote hiki wakati mnatafuta solution ya tatizo lenu.Jambo jingine, km wewe huna dhambi yoyote against her(hujawahi msaliti au kumuumiza kwa namna yoyote ile) basi mfukuzie mbali, and the vice versa is true
 
mkuu,nakushauri urudishe moyo nyuma,wafikirie watoto.unawatesa kwa dhambi ya mama yao.watoto huwa wana lose sana wasipomuona mama.ni bora uishi na huyo mwanamke hata kama mapenzi hakuna.hakuna kuduu au hata mtengane vitanda.lakini watoto wawe wanawaona mko pamoja.wanamuona mama na pia baba.hata darasani zitachaji sana.lakini kama unataka uwaharibu watoto basi wasiwe wanamuona mama yao around.
ni hayo tu mkuu,mengineyo kichwani mwako.

Well said. Mrudishe for the sake of your kids. Laleni chumba kimoja ili watoto wasijue kama kuna tatizo lakini vitanda tofauti. Boading school nakataa. Ni wadogo mno hawajitambui.
Usikimbilie mahusiano yoyote mapya kwa sasa, ni mapema mno.
Kamwe usiwetee mwanao mama mwingine maana hujui maisha yatakuaje. Umeshindwa kabisa, acha watoto wakakae na mama yao wewe peleka matumizi, hii ni muhimu sana ili usiwachanganye watoto
Last but not list, jiangalie wewe pia una tatizo gani mpaka mke a cheat. Wanawake hawa cheat hovyo kama kila kitu kiko shwari. Kuna wachache ambao nu hulka zao lakini wengi hu cheat for a reason. Jaribu kutafuta hiyo sababu.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kusema la ukweli kwanza wewe ndio mwanaume wa kweli!....ila kama amewai kuwakimbia mpaka watoto akatokomea kweli huyo ni pakaroad!
kama unaye mama mzazi aje awalee huyo atakuja kukufanya ufanye kitu cha ajabu uishie jela na watoto wawakose wote.
unaweza pata mke mwingine bora si wote wabaya tafuta mtu mzima kidogo walau aliyefiwa a mume au aliyetendwa na dunia na kabla pima ukimwi kwanza.....pia huyo mwaamke awe na mtoto....tangaza hapa hapa mbona siku haitapita na wanajf tutachangia harusi na tutakuja wala usikonde wangu...yapo sana haya..mi ni dada yako najua unayopitia,

dada mzuri umeandika ujumbe mzuri sana,proud of you dada!
 
Well said. Mrudishe for the sake of your kids. Laleni chumba kimoja ili watoto wasijue kama kuna tatizo lakini vitanda tofauti. Boading school nakataa. Ni wadogo mno hawajitambui.
Usikimbilie mahusiano yoyote mapya kwa sasa, ni mapema mno.
Kamwe usiwetee mwanao mama mwingine maana hujui maisha yatakuaje. Umeshindwa kabisa, acha watoto wakakae na mama yao wewe peleka matumizi, hii ni muhimu sana ili usiwachanganye watoto
Last but not list, jiangalie wewe pia una tatizo gani mpaka mke a cheat. Wanawake hawa cheat hovyo kama kila kitu kiko shwari. Kuna wachache ambao nu hulka zao lakini wengi hu cheat for a reason. Jaribu kutafuta hiyo sababu.



Sent from my iPhone using JamiiForums

Asante kiongozi kwa ushauri wako mzuri.
 
Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
ila swala bado lipo pale pale, baada ya hayo yote then what shall I do? should I sacrifice my happiness so that my children are happy? or should I keep on searching till god say yes? totally confused.

Tuliza kichwa kwanza mkuu.........usiende haraka.......hapa unahitaji busara za hali ya juu sana............ukikimbilia kuoa kwa haraka utachemka........tafuta dada wa kukulelea then kichwa kikitulia utaamua polepole........

ila umeoa gaidi eeeeh........aiseee........ulimtoa wapi.........?.........
 
Back
Top Bottom