Sijui nianzie wapi?

Sijui nianzie wapi?

Mpe mwaka mmoja wa kuwa kwao,halafu endelea na uchunguzi (yaani unda kamati ya uchunguzi) kama atakuwa anaendelea kufanya hayo madudu bac itabidi ufanye uamzi mgumu,ila kama atakuwa amejirekebisha na ww umejiridhisha na uchunguzi wako basi msamehe bure,maana atakuwa amejifunza.
 
Wewe kwani hujawahi kucheat???????,hebu msamehe mke wako huko coz na wewe pia am sure sio mwaminifu,ni vile tu hujafumaniwa.
 
Ushauri wangu kwako,Msamehe mkeo kwani amekiri kosa,hakuna mwanamke utakaemuoa akalea hao watoto watatu kwa upendo kabisa na kwa moyo wote,pia kumbuka hata wew ni mkosefu pia kwa mkeo ila mke wako hakupata nafasi ya kugundua makosa yako,hvo jifunze kusamehe na kusahau ili uishi kwa amani na furaha,na siku zote tambua kua "Hakuna mkamilifu katika dunia,sisi sote ni wakosefu"unaweza ukaoa tena bt huyo utakaemuoa anaweza kuwa na mapungufu zaidi ya yule wa kwanza,Msamehe mkeo na mrudishe nyumbani maisha yasonge mbele.
 
Mpe mwaka mmoja wa kuwa kwao,halafu endelea na uchunguzi (yaani unda kamati ya uchunguzi) kama atakuwa anaendelea kufanya hayo madudu bac itabidi ufanye uamzi mgumu,ila kama atakuwa amejirekebisha na ww umejiridhisha na uchunguzi wako basi msamehe bure,maana atakuwa amejifunza.

Hiyo number 2. Kwa kuzingatia tabia ya mkeo uliyoelezea hao watoto unaowapenda Biologically ni wa kwako ?
 
Wanajamvi, natumaini muwazima wa Afya,
Nimeona nije kwenu walau mujue yanayonisibu, sio kitu kipya hapana, ila kimeniweka kwenye mazingira magumu sana, japo najitahidi kufanya kila linalowezekana walau upepo huu upite.

kifupi ni hivi Mama wa Watoto wangu (Mke) nimeamua kumrudisha kwao baada ya kugundua hakua mwaminifu kwangu ie niligundua anamahusiano ya Kimapenzi na Watu wengine Nje ya Ndoa, nilifanya uchunguzi wa kina nakugundua uchafu huo, baada ya mikimiki ya hapa na pale alikiri mbele ya wazazi wake kua yote niliyowaeleza ni ukweli mtupu. baada ya mashauriano ya muda mrefu nilifikia uamuzi wa yeye aondoke kwangu. hili halikua gumu sana kuamua kwa kila kitu kilikua wazi

So issue yangu kubwa ni nini nifanye baada ya hapa, ukizingatia yafuatayo:

1. tuna watoto watatu , mdogo kabisa ana miezi 9

2. hawa watoto nawapenda sana na mpaka sasa naishi nao

3.mimi mwenyewe umri umekimbia am 35 yrs now

4. mama watoto kila siku anapiga simu kuomba msamaha( japo najua kabisa jasiri haachi asili)

5. najiuliza hata kama nikitaka kuoa tena, will it be fair to my children?

6. nina watoto 3, will it suit me kuoa mwanamke ambaye hajazaa? ataweza kulea kwa upendo hawa watoto?

7.je nikioa mwanamke mwenye mtoto/watoto tayari si atataka naye awalete waishi kwangu? huu mzigo utaniua

8.je ni haki niwapeleke boarding hawa watoto ili mi niishi peke yangu?
kiukweli nipo njia panda, tafadharini yeyote anayeweza nisaidia kimawazo nitashukuru
asanteni!

Kaka yangu wanawake ndo walewale tu unaweza kuoa mwingine akawa mshenzi kuliko Mkeo mi nadhan msamehe mkeo mrudishe home alee watoto ila kikubwa kapime DNA na watoto wako upate uhalali wa watoto na wewe
 
Back
Top Bottom