Witted Jc
Member
- Dec 28, 2018
- 58
- 117
Kweli watu wengi si wa kumiani ; hata maneno yao pia mengi si ya kuamini.
Mtu akikaa kwa wazazi "maneno"
Akikaa kwake "majungu"
Hata hivyo, kukaa chumba kimoja haimaanishi haiwezekani kupanga vitatu.
Binadam si mnyama, yawezekana ni mikakati ya kimaisha...
Point ni:
jina la jukwaa hili ni MMU, dhima kuu ya uzi huu ni mapenzi. "Material things" zimejitokeza tu kama moja ya sababu ya kuachana kwao na ilikuwepo katika mazingira ya mahusiano yao.
✌
Mtu akikaa kwa wazazi "maneno"
Akikaa kwake "majungu"
Hata hivyo, kukaa chumba kimoja haimaanishi haiwezekani kupanga vitatu.
Binadam si mnyama, yawezekana ni mikakati ya kimaisha...
Point ni:
jina la jukwaa hili ni MMU, dhima kuu ya uzi huu ni mapenzi. "Material things" zimejitokeza tu kama moja ya sababu ya kuachana kwao na ilikuwepo katika mazingira ya mahusiano yao.
✌



