Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Kwanini usitulie kwanza ukapata hela na maisha yako kusimama vyema, huoni inakupa uhuru hata wa kuwa na mwanaume yeyote utaempenda hata akiwa na hali ya chini
Kipindi hicho wala sikuwaga na mandoto makubwa makubwa nilikuwa naamini mtu ukiwa na hela ya kubadilisha mboga inatosha zingine mnaendelea kutafuta taratibu
 
Kwa sababu umeamua kujiaminisha hivyo hakuna neno. Trust me, binadamu tunatofautiana sana kwenye lifestyle zetu hata ukikataa iko kivyo. Nikikuambia hata huyo ninayemsema tuliishia kwenye kukiss najua utabisha, sitakulazimisha
Dah, mama kiss? Like only kiss bebe? There mus b Glory of God that lays upon you. Sina la kupinga mpenzi im fine with that one 😂
 
Kipindi hicho wala sikuwaga na mandoto makubwa makubwa nilikuwa naamini mtu ukiwa na hela ya kubadilisha mboga inatosha zingine mnaendelea kutafuta taratibu
Ndoto kubwa zitakutia stress tu hasa katika nchi ambayo tunategemea wizi ndio tutusue ama kuuza unga.
 
Ndoto kubwa zitakutia stress tu hasa katika nchi ambayo tunategemea wizi ndio tutusue ama kuuza unga.
Aisee nimeona hilo, ukitafuta hela kihalali nchi hii unachelewa sana kutoboa. Sisemi waliotoboa wote wana mambo ya chini ya carpet....najua wapo wanaotoboa kihalali ila ni kwa tabu sana
 
Kwa jinsi nilivyo na huruma ,sijawahi kumkataa mwanamke,msikilize anasemaje halafu amua,
 
Aisee nimeona hilo, ukitafuta hela kihalali nchi hii unachelewa sana kutoboa. Sisemi waliotoboa wote wana mambo ya chini ya carpet....najua wapo wanaotoboa kihalali ila ni kwa tabu sana
Yeah ukitaka u win kihalali lazma uwe na mtaji mkubwa sana. Shits so hard for begginers.
 
Mkuu tusiwalaumu sana wanawake kama tunataka wasubiri ndoa hadi sisi tutakapokuwa tayari kuoa basi tuache kuwasimanga wanawake waliochelewa kuolewa kama ambavyo sisi kwenye jamii tunawapressurize wawahi kuolewa kwa kigezo cha umri kwenda basi na wao ndivyo wanatupressurize tuwaoe ili jamii isiwacheke
Unajitahidi katika kuitetea jinsia ya kike hongera sana mkuu
 
Hapana mkuu kwenye ukweli inabidi usemwe tu siwezi kutetea kila wanachosema wanaume eti kwa vile na mimi ni mwanaume kama wanaume wameongea ukweli nitatetea ila kama ni uongo nitapinga vile vile hata wanawake kama wameongea ukweli nitatetea ila kama ni uongo nitapinga ila all in all nilichogundua humu mitandaoni wanaoongoza kutupa lawama kwa jinsia nyingine ni wanaume

Hii inafanya wanawake ndo waonekane wabaya kuliko sisi wakati uhalisia tunaona humu mitaani kuwa sisi wanaume ndo pasua vichwa wenyewe na sisi tuna matatizo yetu lakini sishangai nature ya mwanaume ni kutupa lawama kwa mwanamke kwenye kila kitu ilianzia kwa Adam alipomtupia lawama Evah kwa Mungu
Akili kumkichwa mkuu usipokuwa makini utatoka na fikra negative haswa
 
Mkuu tusiwalaumu sana wanawake kama tunataka wasubiri ndoa hadi sisi tutakapokuwa tayari kuoa basi tuache kuwasimanga wanawake waliochelewa kuolewa kama ambavyo sisi kwenye jamii tunawapressurize wawahi kuolewa kwa kigezo cha umri kwenda basi na wao ndivyo wanatupressurize tuwaoe ili jamii isiwacheke
Ukumbuke pia sio wote tunaotupa lawama. Thats very personal kuna ambao wanabeza ila sio wanaume wote.
 
Back
Top Bottom