BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,243
- Thread starter
- #161
Kaka ndo maana nasema hawa hawawez kuelewa kitu mpk yawakute....!kuna mengi sana sijayaweka...!!kuwa busy na mtu mwngne ndo kummotivate mtu??Sawa ila what if hakuwa amepata shughuli rasmi ya kufanya, i mean at the early stages. Imagine umemaliza tu chuo, mwanamke ana demand uwe na kwako wakati kazi huna. Thats putting a lot of pressure ambayo wala haisaidii
Sijivunii kwa hapa nlpofikia
Just am glad kuwa wamshamfunza alipokosea
Na reason pekee y cjibu text na calls zake n kwakuwa yalishapita....ukurasa wke ushfungwa

