mark girland
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,026
- 757
Ushasema maskini ni wengi kuliko matajiri ila kama ingekuwa kinyume hakuna mwanamke angekubali kuolewa na kapuku.Lakini still ameoa mwanamke si ndio? Tena ktk hali yake hiyo hiyo ya umasikini right?
Kuoa au kuolewa na uloanza nae hii hutokea kwa nadra maana kwenye maisha kuna ups and down nyingi.
Lakini hii ya kulaumu wanawake naona mnaikuza sana ilihali wenye hali za kawaida ni wengi kuliko matajiri na wanaoa kila uchwao na wanaoa hao hao wanawake mnaodai hawawezi kuvumilia shida.
Wakati mwingine unapoachwa na mwanamke sio kwasababu wewe ni masikini ila mentality yako kuhusu huo umasikini na tabia zako zingine. Ila huwa mnajistukia tu kuwa umeachwa sababu ya umasikini.
. Kwani alisahau nini kwako?
. Ona sasa mpaka kajaza vyombo rumuni kwake