Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Shida ni approach aliyotumia kummotivate jamaa ni more sinister approach .amini hakuna kitu kibaya kama kucheza na hisia za mtu.
Huwa ktk haya mambo mnakuwa na negativity nyingi sijui kwanini
Hebu tuambie ungekuwa wewe ndio huyo binti ungefanya nini?

Amekupa motivation ya kupambana zaidi, kuna watu unapokuwa laini kwake anabweteka badala ya kupambana. Amekuwa mgumu ukapata akili ukapambana hadi sasa unayaona matunda. Kila jambo linatokea kwasababu.

Usimlaumu tu, mshukuru pia. Hayo mengine shauriana na ubongo wako.
 
Kwani genye zinahusiana na shughuli za mtu. Kama ingekuwa hivyo Mzee mengi angekuwa hana watoto. Hisia zipo tu ndio maana hata ww unakataga mauno kwa umpendae
Sijauelewa huo mfano wa Mengi wakati yeye ndio ilitakiwa awe na watoto lukuki.

Ukiwa hauna kazi ya kufanya hautakiwi kabisa kuwa na hisia.
 
Sijauelewa huo mfano wa Mengi wakati yeye ndio ilitakiwa awe na watoto lukuki.

Ukiwa hauna kazi ya kufanya hautakiwi kabisa kuwa na hisia.
Wewe hupigwi mashine kisa huna hela?
 
Back
Top Bottom