BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,243
- Thread starter
- #21
Sio kila kipitacho kina mbachao
Kila la heri na baraka. Wahenga walisema usiache mbachao......,
Kila la heri na baraka. Wahenga walisema usiache mbachao......,
Mwanaume usimkatae mwanamkr, butua ila mwambie una mtu wako asitegemee chcht pia usimhudumie kabisaaaa wala kumjali
Unaposema "wengi" ilihali makapuku wengi ndio wanaooa kila siku unawazungumzia wanawake gani? Waliofanikiwa pia walioa wakiwa apeche alolo tu wake zao wakawavumilia hadi wametusua.Wanawake wengi hawanaga uvumilivu kwenye swala la mafanikio wengi wao wanapenda akuone unayo mafanikio lakin wengi hawapo tayari kukuvumilia na kukusubiria kipind unayatafuta mafanikio na kujenga maisha pa1, mwisho wa siku wanajutia wenyew ..
WENGI WANAPENDA KUJIFUNZA BAADA YA KUKOSEA NA KUJUTIA WAKATI UWEZO WA KUIZUIA HIYO HALI
Mpe nafasi ya pili ,ni mwanadamu .
Pamoja mkuuYote ni maneno kuntu ila nimefurahi uliposema ulijifunza "KUTOMWAMINI MWANAMKE."
Unamega kistyle huku ukimwambia una mchumba umemvisha pete tayar
Yaani wewe kujaza vitu kwenye single room unaona tayari umetusua?





Waala sijasema kutusua...nmesema kupiga hatua...!!kuna tofautiYaani wewe kujaza vitu kwenye single room unaona tayari umetusua?
Copy that sirpiga xhini hiyooo awa viumbee wakituachagaaa upande mwingine inakaaa POA maana unakuwa na uchunguuu wakutafuta life ukikaa nao unakuwa ndezi ni mapepo ya ufilisii hawaaa
![]()
Na huwez amini...nshawah kumshukuru...!!just cwezi kmruhus arudi....am superman....she is kryptonite...!!ataniangushaHuwa ktk haya mambo mnakuwa na negativity nyingi sijui kwanini
Hebu tuambie ungekuwa wewe ndio huyo binti ungefanya nini?
Amekupa motivation ya kupambana zaidi, kuna watu unapokuwa laini kwake anabweteka badala ya kupambana. Amekuwa mgumu ukapata akili ukapambana hadi sasa unayaona matunda. Kila jambo linatokea kwasababu.
Usimlaumu tu, mshukuru pia. Hayo mengine shauriana na ubongo wako.
Huu ushauri ukupitie mbali kabisa mtoa mada. Ukifanya hivyo tu utaanza na moja.
Kaka una undugu na Salim Kikeke nini?
"Anatumia mbuni za......"
Naelewa vizuri mwenza. Amepiga hatua kubwa ila tatizo ni vile anajichukulia...yaani kisa kajaza vitu rum mtu akimtumia meseji anamtafuta kwa sababu katusua
Kuna levels tofauti za mafanikio ujue mwenza.
Kwake hayo ni mafanikio as ametoka kula kulala kwa wazazi now anamiliki single room ya kupanga hivyo kapiga hatua.
wacha ajipongeze huwezi,ametokea stage gani kufikia hapo alipo
Usione kila mtu ameoa ukajua nd alianza na huyo....!!kila mtu ana historia ambyo hakuna aijuaye zaidi ya yeyeUnaposema "wengi" ilihali makapuku wengi ndio wanaooa kila siku unawazungumzia wanawake gani? Waliofanikiwa pia walioa wakiwa apeche alolo tu wake zao wakawavumilia hadi wametusua.
Huyo binti alikuwa anakupa motivation ya kupambana ila kwa sababu ya kujishtukia uliona anakunyanyasaWaala sijasema kutusua...nmesema kupiga hatua...!!kuna tofauti
Thanks beautiful
Kuna levels tofauti za mafanikio ujue mwenza.
Kwake hayo ni mafanikio as ametoka kula kulala kwa wazazi now anamiliki single room ya kupanga hivyo kapiga hatua.
Hujui maisha weweYaani wewe kujaza vitu kwenye single room unaona tayari umetusua?
Hahahaaaa waala sijasema kantafta kwakuw nmpiga hatua....nmsema kuna mbwamwitu wamemfunza kituNaelewa vizuri mwenza. Amepiga hatua kubwa ila tatizo ni vile anajichukulia...yaani kisa kajaza vitu rum mtu akimtumia meseji anamtafuta kwa sababu katusua
Sijakataa, ni mafanikio. Shida ni pale anapotafutwa anajiona Bakhresawacha ajipongeze huwezi,ametokea stage gani kufikia hapo alipo