Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Life is unpredictable...

Kuna mmbo hutokea bila kanuni, na mengine hukotea kwa sbbu kanuni zimezingatiwa...

Uliyeachana naye sasa unambeza, si ajabu utakutana na mwingine mpya na ukaanza kumkumbuka huyu unayembeza sasa...
 
Life is unpredictable...

Kuna mmbo hutokea bila kanuni, na mengine hukotea kwa sbbu kanuni zimezingatiwa...

Uliyeachana naye sasa unambeza, si ajabu utakutana na mwingine mpya na ukaanza kumkumbuka huyu unayembeza sasa...
Ni kweli kabisa yaani
 

Kuna levels tofauti za mafanikio ujue mwenza.
Kwake hayo ni mafanikio as ametoka kula kulala kwa wazazi now anamiliki single room ya kupanga hivyo kapiga hatua.
nimekupenda kwa jibu hilo
 
Kwa step yake aliyotokea ni kama amepiga hatua, hawezi kuidharau hatua hiyo endapo hakuwa na kwake.

Samsung TV inch 32 pekee ni 500000/- na si nyepesi kuitoa dukani kuileta chumbani, hardwork.
Ni mafanikio makubwa sana, lakini yanatosha kiasi cha kujivuna kwamba mtu anamtumia meseji kwa sababu ya mafanikio yake?
 
Ni mafanikio makubwa sana, lakini yanatosha kiasi cha kujivuna kwamba mtu anamtumia meseji kwa sababu ya mafanikio yake?
"Lini utakuwa na kwako P" namnukuu

Sasa leo kaona yupo na kwake kamrudia, na alimuacha.

Kweli si sababu ya kutojibu sms, mimi binafsi ningemjibu ila nisingemkaribisha tena katika maisha yangu.

Hatochelewa kuniuliza "Lini utakuwa na gari P" halafu aniache kisa sina gari,nikipata anirudie hahaa
 
"Lini utakuwa na kwako P" namnukuu

Sasa leo kaona yupo na kwake kamrudia, na alimuacha.

Kweli si sababu ya kutojibu sms, mimi binafsi ningemjibu ila nisingemkaribisha tena katika maisha yangu.

Hatochelewa kuniuliza "Lini utakuwa na gari P" halafu aniache kisa sina gari,nikipata anirudie hahaa
 
Ukikutana na wanawake nao watakwambia mwanaume sio wa kumwamini. In general bin- Adam sio wa kumwamini.
Atleast umeongea point ya msingi. Binaadam sio wa kumwamini sio wanawake tu hata wanaume ni nyoka mwenye sumu kali sana
 
Back
Top Bottom