Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 267
- 279
Sawa mkuu japo kuna watu roho inawauma kuona naipromote hii kitu wanapinga hata kabla Uzi haujaanza sijui ndio vipepeo weusi??Naisubiri mkuu,usikose kunitag
Sawa mkuu japo kuna watu roho inawauma kuona naipromote hii kitu wanapinga hata kabla Uzi haujaanza sijui ndio vipepeo weusi??Naisubiri mkuu,usikose kunitag
Salute broooo...Kuna kigongo kipya kitaingizwa Jf kwa mara ya kwanza kabisa.
Wale wapenzi wa vitu vya kijasusi vilivyoshiba msikose hii kitu ..(MABADUNI WA SERIKALI).
Kigongo kina sura sita tu, na bado sura mbili kikamilike.
Ningepost lakini naijua arosto ya wadau humu wanaweza kukuombea dua mbaya hivyo naiheshimu sana hadhira.
Wakosoaji wasikose, narudia tena, wasikose. Maana wanaleta ukamilifu ambao nautaka...
SOON TO BE THERE.
VizurMuuza Viat link zipo hapa
Ikiwa Bongo mtu unaibiwa waziwazi unaangaliwa tuu ije kuwa hilo tukio!!! Ilhali walishaambiwa ni mambo ya kifamilia waachame nao?Ni ngumu uchangiwe na watu wanne watu halafu watu waangalie tu halafu ubebwe uwekwe kwenye gari wanakuangalia tu unaondoka tena na hayo maeneo nimeambiwa na mwananchi mmoja kuna polisi na walinzi karibu. Uwe makini dogo usipoteze umakini please. Utanikwaza
Ukipata naomba nitagEpisode ya 19 jamani sijui imefutwa