mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Kipindi cha magufuli Zitto Kabwe na kijana wake Ado Shaibu walijinasibu sana kuichambua report ya CAG na wakaja na madudu ya 1.5 t kuwa zimopotea na hazijulikani ziliko na walijinasibu kweli, kwa bahati nzuri report ya CAG ipo kila mwaka na report ya awamu hii yote inagusa utawala wa Samia.
Sijasikisia zito akija na mbwembwe za kuichambua, alichokoment mpaka sasa ni issue ya pesa za pre bargain tu ambayo ipo connected na utawal wa mwendenzake, hili kisiasa lipoje kwa ACT, wao hawajaona madhaifu kwenye report hii ya CAG, wameamua tu ku wave haki yao ya kuchambua report na kushauri, na kwa nini iwe sasa wawe kimya na huko nyuma walikuwa na nyege mno.
Sijasikisia zito akija na mbwembwe za kuichambua, alichokoment mpaka sasa ni issue ya pesa za pre bargain tu ambayo ipo connected na utawal wa mwendenzake, hili kisiasa lipoje kwa ACT, wao hawajaona madhaifu kwenye report hii ya CAG, wameamua tu ku wave haki yao ya kuchambua report na kushauri, na kwa nini iwe sasa wawe kimya na huko nyuma walikuwa na nyege mno.