mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Salam wakuu,
Nimeingia katika tafakari ya muda baada ya kuona Matukio mawili yakitendeka ghafla ghafla ikiwa ni saa Chache kabla Chama Cha ACT Wazalendo hawajafanya uchambuzi wa ripoti ya CAG.
Katika kufuatilia Jambo hili nimejiridhisha kuwa tokea CAG akabidhi ripoti yake kwa Rais hamu na shauku ya watu wengi ilikuwa ni kumsikiliza Zitto Kabwe au Chama Cha ACT kitasema nini juu ya ripoti hiyo.
Katika kukata kiu hiyo Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Twitter aliahidi watafanya Uchambuzi wa kina kama ilivyo ada yao tokea 2016
Kauli hiyo ndiyo imekuwa kauli pekee ya Chama hicho na hata Zitto mwenyewe, juu ya Ripoti ya CAG huku wakiwaahidi wananchi kuwa watafanya Uchambuzi mzuri na umma utaarifiwa
Katika hilo tayari matangazi mbali mbali yameshazunguka na hata baadhi ya Online Media zimeahidi kurusha Uchambuzi huo ili wananchi wajue, ikimbukwe kwamba Zitto ni miongoni mwa wanasiasa waliojipambanua juu ya Uchambuzi makini wa ripoti mbali mbali za kiuchumi na hata hiyo ya CAG.
Sasa basi wakati joto hilo la Uchambuzi wao ukiwa unaendelea mara Chadema nao wakatangaza kuwa watafanya Uchambuzi siku hiyo hiyo sema wao wametaka wafanye asubuhi kabisa kabla y watu hawajanywa hata chai, hii ikiwa si kawaida yao tokea Chama hicho kilipoanzishwa.
Wakati Chadema wakirangaza nao kufanya uchambuzi kama wafanyazvyo ACT mara Rais nae katumbua watu na kutaka wengine washughulikiwe.
Ukiangia mlilongo wote huo utaona namna wanavyotaka kuzima Uchambuzi wa ACT kwa Matukio hayo.
Swali la kujiuliza tu je haikuwa busara kwa Chadema kusuburi wenzao wafanya na wao watafute siku nzima nyingine badala ya kuwavizia ACT?
JE kinachofanywa sasa si muendelezo wa kutafuta sifa za mitandaoni kuwa hoja hii tulianza sisis kabla ya wao?
Nimeingia katika tafakari ya muda baada ya kuona Matukio mawili yakitendeka ghafla ghafla ikiwa ni saa Chache kabla Chama Cha ACT Wazalendo hawajafanya uchambuzi wa ripoti ya CAG.
Katika kufuatilia Jambo hili nimejiridhisha kuwa tokea CAG akabidhi ripoti yake kwa Rais hamu na shauku ya watu wengi ilikuwa ni kumsikiliza Zitto Kabwe au Chama Cha ACT kitasema nini juu ya ripoti hiyo.
Katika kukata kiu hiyo Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Twitter aliahidi watafanya Uchambuzi wa kina kama ilivyo ada yao tokea 2016
Kauli hiyo ndiyo imekuwa kauli pekee ya Chama hicho na hata Zitto mwenyewe, juu ya Ripoti ya CAG huku wakiwaahidi wananchi kuwa watafanya Uchambuzi mzuri na umma utaarifiwa
Katika hilo tayari matangazi mbali mbali yameshazunguka na hata baadhi ya Online Media zimeahidi kurusha Uchambuzi huo ili wananchi wajue, ikimbukwe kwamba Zitto ni miongoni mwa wanasiasa waliojipambanua juu ya Uchambuzi makini wa ripoti mbali mbali za kiuchumi na hata hiyo ya CAG.
Sasa basi wakati joto hilo la Uchambuzi wao ukiwa unaendelea mara Chadema nao wakatangaza kuwa watafanya Uchambuzi siku hiyo hiyo sema wao wametaka wafanye asubuhi kabisa kabla y watu hawajanywa hata chai, hii ikiwa si kawaida yao tokea Chama hicho kilipoanzishwa.
Wakati Chadema wakirangaza nao kufanya uchambuzi kama wafanyazvyo ACT mara Rais nae katumbua watu na kutaka wengine washughulikiwe.
Ukiangia mlilongo wote huo utaona namna wanavyotaka kuzima Uchambuzi wa ACT kwa Matukio hayo.
Swali la kujiuliza tu je haikuwa busara kwa Chadema kusuburi wenzao wafanya na wao watafute siku nzima nyingine badala ya kuwavizia ACT?
JE kinachofanywa sasa si muendelezo wa kutafuta sifa za mitandaoni kuwa hoja hii tulianza sisis kabla ya wao?