Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Mtu mwenye roho iliyojikaataa hawezi shawishika hata angepewa nini, kosa ni la wanaume kuwakataa watoto wakiwa tumboni,watoto wa namna hii ndiyo huhisi kukataliwa kila wakati, maisha yao ni ya hofu na mashaka. Watu kama nyinyi hata mama angefanya nini mnahisi kuonewa tu.