Sijashawishika na majibu ya Rais Samia kwamba apewe muda ili aisimamishe uchumi halafu ndiyo aruhusu mikutano ya kisiasa

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,583
Sijashawishika na haya majibu ya Rais Samia!

Kwamba apewe muda ili aisimamishe nchi kwanza kiuchumi halafu ndo aruhusu mikutano ya kisiasa.

Achieni watu wapige siasa bana. Na nyie mpige kazi.

Kukataza watu kufanya siasa popote pale nchini ni fikra za kijima na za kishamba.

Watu kupiga siasa hakuwazuii nyie kufanya kazi zenu.

Acheni watu wawe huru.

Antediluvian and superannuated ideas have no place in a modern Tanzania.

Get with the changing times!

 
Mimi nadhani hiyo ya kusimamisha kwanza uchumi ali-base kuhusu Katiba mpya..na kutaka utulivu coz kuna vuguvugu linakuja la kudai katiba mpya..

Hiyo mikutano ya kisiasa sio big deal..hata kina Mbowe wiki mbili zilizopita walikuwa mikoani huko wanazunguka tu..kipindi cha jiwe hilo lisingewezekana.
 
Mimi nadhani hiyo ya kusimamisha kwanza uchumi ali-base kuhusu Katiba mpya..na kutaka utulivu coz kuna vuguvugu linakuja la kudai katiba mpya..

Hiyo mikutano ya kisiasa sio big deal..hata kina Mbowe wiki mbili zilizopita walikuwa mikoani huko wanazunguka tu..kipindi cha jiwe hilo lisingewezekana.
Huna akili kabisa.

Operation ya chadema ni msingi ilifanywa kipindi cha jiwe
 
Uchumi wa Tanzania haujawahi simama toka nchi iundwe

..Mwalimu Nyerere baada ya vita vya Kagera 1979 aliomba Watz wajifunge mikanda kwa miezi 18 ili uchumi utengemae.

..hali ya uchumi iliendelea kuwa mbaya na mwaka 1985 Mwalimu akaamua kung'atuka.

..Mama amejiweka kwenye kona, kwasababu sasa wanasiasa wataanza kumlaumu kuwa wanashindwa kufanya siasa kwasababu Mama ameshindwa kurekebisha uchumi.

..Na siku atakayofungulia mikutano bado watamlaumu kuwa hali ya uchumi bado ni mbaya, hakuna ajira, mishahara haitoshi, etc etc
 
Mikutano ya kisiasa ni ajira kwa vyama vya upinzani.

Wakiachiwa watakua wamejiajiri.

Ila Kwa hili I stand with Samia,

Mikutano kama hii ni wastage of time.

Siasa za zama za mawe za kati.

Tunapaswa kujifunza kufanya siasa za majukwaa wakati wa chaguzi tu.

No through out the year.
 
Rais wetu ana mawazo yale ya mtangulizi wake anaona mikutano ya siasa ni vurugu itawanyima watu kufanya kazi, anaposema watu wafanye siasa kwenye maeneo yao ni sawa na kifungo na anavunja sheria ya nchi, watanzania wana uhuru wa kwenda popote ndani ya nchi yao, asimuige Magufuli kwenye hili ataharibu.
 
Mikutano ya kisiasa ni ajira kwa vyama vya upinzani.

Wakiachiwa watakua wamejiajiri.

Ila Kwa hili I stand with Samia,

Mikutano kama hii ni wastage of time.

Siasa za zama za mawe za kati.

Tunapaswa kujifunza kufanya siasa za majukwaa wakati wa chaguzi tu.

No through out the year.

..mama made a dumb mistake.

..siku atakayoruhusu mikutano wapinzani wataanza kumpiga madongo kuwa hali ya uchumi siyo nzuri.

..uchumi wa Tz sio wakurekebishika ndani ya muda mfupi, lakini Mama amezungumza kana kwamba she has a quick fix ya matatizo ya uchumi.
 
..mama made a dumb mistake.

..siku atakayoruhusu mikutano wapinzani wataanza kumpiga madongo kuwa hali ya uchumi siyo nzuri.

..uchumi wa Tz sio wakurekebishika ndani ya muda mfupi, lakini Mama amezungumza kana kwamba she has a quick fix ya matatizo ya uchumi.
Watu wanahitaji muda wa kuzalisha,

Vyama vya siasa vinapaswa hasa kunadi sera zao nyakati za chaguzi tu , that makes sense.

Hii kukimbizana na mikutano ya kisiasa mwaka mzima Kwa miaka mitano ni kuondoa focus ya watu katika mambo ya msingi ya maendeleo.

Nchi yetu ni changa tunahitaji muda mrefu zaidi kuzalisha kuliko kufanya siasa.

Ningewaona mna Nia njema kama kuna angehamasisha tufanye kazi 24 hours , yaani tuwe na kazi za usiku huko watu tuzalishe tukuze uchumi.

Watu mmekalia porojo tu.
 
Rais wetu ana mawazo yale ya mtangulizi wake mikutano ya siasa ni vurugu itawanyima watu kufanya kazi, anaposema watu wafanye siasa kwenye maeneo yao ni sawa na kifungo na anavunja sheria ya nchi, watanzania wana uhuru wa kwenda popote ndani ya nchi yao, asimuige Magufuli kwenye hili ataharibu.
Hakuna kitu chochote alichofanya Magufuli ambacho hakikupaswa kufanywa kwa mazingira ya nchi aliyorithi. Tulishafikia sehemu iwe makazini iwe mitaani stori ni mara Chadema hiki mara CCM kile! Watu hatuli vyama ebo....!

Nchi zote zinazoendekeza usiasa siasa kuna vitu haviwezi kwenda inavyostahili. Hata US wanaendekeza sana usiasasiasa na mda si mrefu sana kuanzia sasa mambo yote itakuwa China badala ya US.
 
Hv yule shaka anaezunguka huku na kule yy ni mbunge wa wap????
Watu wanahitaji muda wa kuzalisha,

Vyama vya siasa vinapaswa hasa kunadi sera zao nyakati za chaguzi tu , that makes sense.

Hii kukimbizana na mikutano ya kisiasa mwaka mzima Kwa miaka mitano ni kuondoa focus ya watu katika mambo ya msingi ya maendeleo.

Nchi yetu ni changa tunahitaji muda mrefu zaidi kuzalisha kuliko kufanya siasa.

Ningewaona mna Nia njema kama kuna angehamasisha tufanye kazi 24 hours , yaani tuwe na kazi za usiku huko watu tuzalishe tukuze uchumi.

Watu mmekalia porojo tu.
 
Watu wanahitaji muda wa kuzalisha,

Vyama vya siasa vinapaswa hasa kunadi sera zao nyakati za chaguzi tu , that makes sense.

Hii kukimbizana na mikutano ya kisiasa mwaka mzima Kwa miaka mitano ni kuondoa focus ya watu katika mambo ya msingi ya maendeleo.

Nchi yetu ni changa tunahitaji muda mrefu zaidi kuzalisha kuliko kufanya siasa.

Ningewaona mna Nia njema kama kuna angehamasisha tufanye kazi 24 hours , yaani tuwe na kazi za usiku huko watu tuzalishe tukuze uchumi.

Watu mmekalia porojo tu.

..sidhani kama kuzuia mikutano ya kisiasa kunasaidia kuongeza uzalishaji mali au tija kwa wafanyakazi.

..Magufuli alishajaribu hicho mnachokipendekeza, yaani kuzuia mikutano ya hadhara, na hatukuona kama uzalishaji mali umeongezeka, au uchumi umekuwa.
 
Hakuna kitu chochote alichofanya Magufuli ambacho hakikupaswa kufanywa kwa mazingira ya nchi aliyorithi. Tulishafikia sehemu iwe makazini iwe mitaani stori ni mara Chadema hiki mara CCM kile! Watu hatuli vyama ebo....!

Nchi zote zinazoendekeza usiasa siasa kuna vitu haviwezi kwenda inavyostahili. Hata US wanaendekeza sana usiasasiasa na mda si mrefu sana kuanzia sasa mambo yote itakuwa China badala ya US.
Kama siasa inazuia maendeleo kwa upeo wako, niambie Magufuli alitufikisha wapi kiuchumi?
 
Sijashawishika na haya majibu ya Rais Samia!

Kwamba apewe muda ili aisimamishe nchi kwanza kiuchumi halafu ndo aruhusu mikutano ya kisiasa.

Achieni watu wapige siasa bana. Na nyie mpige kazi.

Kukataza watu kufanya siasa popote pale nchini ni fikra za kijima na za kishamba.

Watu kupiga siasa hakuwazuii nyie kufanya kazi zenu.

Acheni watu wawe huru.

Antediluvian and superannuated ideas have no place in a modern Tanzania.

Get with the changing times!



Inaelekea ni vigumu sana kwa watanzania kutembea huku wakitafuna Big G.

Amandla...
 
Back
Top Bottom