MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nimebahatika Kukutana mahala na Wakufunzi Watatu wa Angola, Rwanda na Misri pamoja Wanajeshi wa Afrika Kusini na kwa Mshangao mkubwa wakaniambia MINOCYCLINE kuwa bado kwa sasa hawajaona Jeshi lolote la nchi za Bara la Afrika ( zikiwemo zao Wanazotoka ) lenye Ubavu wa Kupambana na Jeshi la uhakika la JWTZ.
Kiukweli wote walinipa sababu mbalimbali za Kimedani ( ambazo kwa Unyeti wake ) sitozianika hapa, ila itoshe tu kusema kama Wewe ni Mtanzania kama Mimi MINOCYCLINE basi Jivunie na tembea Kifua mbele kuwa Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) halina Mpinzani Afrika.
Halafu anatokea Mlevi Mmoja wa Gongo anasema JWTZ halina Uweledi, linapiga hovyo Raia, sijui waombwe Radhi na kutishia Kuwaroga Wanajeshi wetu akisahau kuwa hii Amani Kubwa iliyoko nchi hii na inayomfanya awe Huru Kutwa na ID yake Kuonekana, Kutamba na Kujulikana ni Matunda ya Uimara wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania ( JWTZ )
I'm proud of TPDF and CDF Gen. Mkunda.
Kiukweli wote walinipa sababu mbalimbali za Kimedani ( ambazo kwa Unyeti wake ) sitozianika hapa, ila itoshe tu kusema kama Wewe ni Mtanzania kama Mimi MINOCYCLINE basi Jivunie na tembea Kifua mbele kuwa Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) halina Mpinzani Afrika.
Halafu anatokea Mlevi Mmoja wa Gongo anasema JWTZ halina Uweledi, linapiga hovyo Raia, sijui waombwe Radhi na kutishia Kuwaroga Wanajeshi wetu akisahau kuwa hii Amani Kubwa iliyoko nchi hii na inayomfanya awe Huru Kutwa na ID yake Kuonekana, Kutamba na Kujulikana ni Matunda ya Uimara wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania ( JWTZ )
I'm proud of TPDF and CDF Gen. Mkunda.