Ni gaidi kwa hisia za kimtandoa na ile phobia waliyotengenezewa watu wakisikia mtu anatamka maneno ya kiarabu, but sisi wana taaluma wa maswala ya usalama tunaona kuwa siyo terrorism kwa sababu tukio hilo halijagusa maeneo makuu manne ambayo wataalamu wa mambo ya usalama na counter terrorism intelligence wamebainisha.
Acha wewe una taaluma ya usalama kwelii..?? Au ndio unataka kujidai na kaunda suit za mabibo
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...

Juni 2015, huko Marekani mji wa Charleston ulio jimbo la Carolina ya Kusini, kijana mmoja mzungu aliingia kanisa la watu weusi na kuua kwa risasi watu 9. Msukumo wake (motive) ulikuwa chuki kubwa aliyokuwa nayo dhidi ya watu weusi.

Hilo ni miongoni mwa matukio makuu lukuki yanayotambuliwa rasmi na serikali ya huko kama ugaidi wa ndani (domestic terrorism).

Mwanzoni walikuwa wakitumia ainisho la “jinai ya chuki” (hate crimes), lakini walipobanwa na dunia wamekubali kuwa ni ugaidi wa ndani. Hata akiuawa mtu mmoja au muuaji kuwahiwa kabla hajafanya kitu, nembo ya gaidi anakuwa nayo hadi mahakamani (mashtaka).

Unatofautishaje maudhui ya tukio la Hamza na la Charleston? TENA kabla hata hatujathibitishiwa kwa nini Hamza alikuwa akilenga polisi pekee (polisi yeyote).
 
Ndio tunarudi palepale ugaidi ni nini sasa?
Kisasi chochote kwa serikali ni ugaidi maana serikali sio mtu. Na ndiyo maana Osama alilipua balozi ile ni serikali! . Tatizo ni kutokukubali ukweli huyu jamaa kafanya ugaidi. Na sio kweli kwamba ugaidi umeanzishwa na wamerekani.
 
Kisasi chochote kwa serikali ni ugaidi maana serikali sio mtu. Na ndiyo maana Osama alilipua balozi ile ni serikali! . Tatizo ni kutokukubali ukweli huyu jamaa kafanya ugaidi. Na sio kweli kwamba ugaidi umeanzishwa na wamerekani.
Kwahiyo jamaa alitapeliwa na serikali?
 
Juni 2015, huko Marekani mji wa Charleston ulio jimbo la Carolina ya Kusini, kijana mmoja mzungu aliingia kanisa la watu weusi na kuua kwa risasi watu 9. Msukumo wake (motive) ulikuwa chuki kubwa aliyokuwa nayo dhidi ya watu weusi.

Hilo ni miongoni mwa matukio makuu lukuki yanayotambuliwa rasmi na serikali ya huko kama ugaidi wa ndani (domestic terrorism).

Mwanzoni walikuwa wakitumia ainisho la “jinai ya chuki” (hate crimes), lakini walipobanwa na dunia wamekubali kuwa ni ugaidi wa ndani. Hata akiuawa mtu mmoja au muuaji kuwahiwa kabla hajafanya kitu, nembo ya gaidi anakuwa nayo hadi mahakamani (mashtaka).

Unatofautishaje maudhui ya tukio la Hamza na la Charleston? TENA kabla hata hatujathibitishiwa kwa nini Hamza alikuwa akilenga polisi pekee (polisi yeyote).
Hii inagusa kipengele cha jamii, magaidi hulenga jamii fulani kwa lengo fulani......
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?
Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?
Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili.

Tanzania ipo salama msiwe na shaka.
Binafsi nimekuelewa vizuri.

Hata hivyo tayari tumesha sikia habari kutoka kwa watu wa karibu inaonekana huyu jamaa baba yake alikua anamiriki migodi baada ya kifo Cha babaake ndugu wakagawana majukumu ya kusimamia mali za familia,.
na yeye alipewa jukumu la kusimamia mgodi uliopo mkoa wa shinyanga
Sasa Kuna siku askari police walienda kupiga sach nyumbani wakayakuta madini kg kadhaa wakaenda nayo pamoja na mmiliki
Baadae walimuacha na akaambiwa swala la mzigo litasubili uchunguzi
Baada miezi mitatu akaja kuambiwa mzigo wake haupo,
Sasa inawezekana ulikua mwanzo wa yeye kufanya alicho fanya
 
ugaidi ni neno ya kisheria kaangalie huyu jamma kafanya ugaidi na hii haina ubishi zaidi za ligi za mabishano tu
Hilo neno ugaidi lishakuwa kwamba halina tafsiri moja kila mtu analitumia kwa mtazamo wake na ndio maana watu wanabishana humu.
 
Ni gaidi kwa hisia za kimtandoa na ile phobia waliyotengenezewa watu wakisikia mtu anatamka maneno ya kiarabu, but sisi wana taaluma wa maswala ya usalama tunaona kuwa siyo terrorism kwa sababu tukio hilo halijagusa maeneo makuu manne ambayo wataalamu wa mambo ya usalama na counter terrorism intelligence wamebainisha.

huna lolote,acha upuuzi wewe kima.

kama wewe ni mwana usalama basi ni uchwara kama unavyojiita.
video za huyu jamaa yenu siku moja labla ya tukio akicheza na pistol yake huku akiapa kwa allah unazo!!!au unaendela na uchwara wako hapa??
 
Baada ya tukio hili!nimegundua Watz tunalindwa na Mungu tu na sio Polisi!!Polisi wetu ni wazembe sana!!!wanajua kupambana na vyama pinzani na sio uhalifu!!!KULIKUA KUNA HAJA GANI KUMUUA MTU ALIE SALIM AMRI????KAMA SIO UOGA NI NINI???ONA SASA WAMEKOSA UPELELEZI MZURI KWA KUMUUA HAMZA!!!ETI WANAIKAMATA FAMILILIA YA HAMZA NA KUIHOJI KWANINI WASINGE MKAMATA MHUSIKA????!!!

ndio nyinyi mnaohoji kwanini meli wakati inaanza kuzama watu wasichote maji wamwage nje!!!
ujuaji mwingi nao ni ugonjwa.
 
Back
Top Bottom