Yule jamaa ni gaidi, hakuna namna nyingine ya kumuita.

Lile tukio ni la kigaidi hakuna namna ya kupindisha maneno.

Wanaosema eti alikua analipa kisasi kudhulumiwa na polisi, swali linakuja, baada ya kuwaua polisi na akapata ak 47 mbili, kama wabaya wake ni polisi kwa nini hakurudi hatua chache tu pale daraja la salenda kuna kituo cha polisi akapambane nao?

Kama kweli alikua na usongo na polisi, hatua chache kutoka kwake pale alipowaua askari kuna bank ya stanbic kuna polisi, mbona hakuwafuata, ukiachana na hilo, hatua chache pale alipofanya tukio la kwanza kuna ubalozi wa urusi, kuna polisi kwa nini hakuwafuata?

Yeye alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa na akaacha ubalozi wa urusi hatua chache kutoka alipofanyia tukio la kwanza?

Yule ni gaidi na alikua amelenga wafaransa ndio alitaka kwenda kuwamaliza na si vinginevyo.
Unaweza kuwa sawa mkuu lakini ni kwa nini alikuwa anarusha risasi ovyo wakati alikuwa na kazi nazo baadae?
Nielewavyo mimi magaidi hufunzwa vyema kutumia silaha na moja ya mafunzo ni kutunza risasi na si kutumia ovyo.
Kwa nini alichukuw muda mrefu eneo la tukio wakati alikuwa akijuwa aende wapi na afanye nini na kwa nini hakutoroka wakati alikuwa na njia nyingi za kutoroka eneo la tukio? Najaribu kujiuliza tu
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Umeshindaje kuona ugaidi wa Mbowe na kundi lake, hatushangai kutokuona hilo la mtu mmoja
 
Baada ya tukio hili!nimegundua Watz tunalindwa na Mungu tu na sio Polisi!!Polisi wetu ni wazembe sana!!!wanajua kupambana na vyama pinzani na sio uhalifu!!!KULIKUA KUNA HAJA GANI KUMUUA MTU ALIE SALIM AMRI????KAMA SIO UOGA NI NINI???ONA SASA WAMEKOSA UPELELEZI MZURI KWA KUMUUA HAMZA!!!ETI WANAIKAMATA FAMILILIA YA HAMZA NA KUIHOJI KWANINI WASINGE MKAMATA MHUSIKA????!!!
 
Kwa tafsiri hii, basi yule Mwenyekiti wa chama fulani, alietaka kulipua vituo vya mafuta na kuua wanasiasa kumbe kweli atakua ni GAIDI
Gaidi ni sirro aliyejitahidi kumlinda gaidi mwenzake kwa kumtoa uhai ili tusijue mengi. Checki kadi feki aliyyotengenezewa ili kuharibu ushahidi kwA kubumba uongo.
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Kwa ufupi kabisa, ni kisasi kwa kunyang'anywa dhahabu zake na polisi! Kilangila.
 
Baada ya tukio hili!nimegundua Watz tunalindwa na Mungu tu na sio Polisi!!Polisi wetu ni wazembe sana!!!wanajua kupambana na vyama pinzani na sio uhalifu!!!KULIKUA KUNA HAJA GANI KUMUUA MTU ALIE SALIM AMRI????KAMA SIO UOGA NI NINI???ONA SASA WAMEKOSA UPELELEZI MZURI KWA KUMUUA HAMZA!!!ETI WANAIKAMATA FAMILILIA YA HAMZA NA KUIHOJI KWANINI WASINGE MKAMATA MHUSIKA????!!!
Ohoo ndugu, Polisi walimuua kwa makusudi. Angebaki hai angefungua "Pandora Box"! Kilangila.
 
Yule jamaa ni gaidi, hakuna namna nyingine ya kumuita.

Lile tukio ni la kigaidi hakuna namna ya kupindisha maneno.

Wanaosema eti alikua analipa kisasi kudhulumiwa na polisi, swali linakuja, baada ya kuwaua polisi na akapata ak 47 mbili, kama wabaya wake ni polisi kwa nini hakurudi hatua chache tu pale daraja la salenda kuna kituo cha polisi akapambane nao?

Kama kweli alikua na usongo na polisi, hatua chache kutoka kwake pale alipowaua askari kuna bank ya stanbic kuna polisi, mbona hakuwafuata, ukiachana na hilo, hatua chache pale alipofanya tukio la kwanza kuna ubalozi wa urusi, kuna polisi kwa nini hakuwafuata?

Yeye alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa na akaacha ubalozi wa urusi hatua chache kutoka alipofanyia tukio la kwanza?

Yule ni gaidi na alikua amelenga wafaransa ndio alitaka kwenda kuwamaliza na si vinginevyo.

Huna unachojua bora ungekaa kimya tu...
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Brother/sister aliehusika anajina la kiislam so Lazima neno ugaidi litumike fasta fasta. Ila tuache chombo vya Dola vifanye uchunguz labda jina la tukio litabadilishwa
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Wewe ni msomi uchwara, unafahamu maana ya gaidi au terrorist? Umeeleza kwa kirefu hapo juu halafu unapinga kwamba tukio la Hamza sio la kigaidi! Kweli tukio hilo haliathiri usalama wa watu au jamii?! Hakuumiza au kuua watu?! Terrorism sio lazima itokee mara nyingi.
 
Kwa hiyo huyu alipanga 25/8 ndio akaoneshe chuki zake kwa polisi wa uniform, hao rai 6 waliojeruhiwa sio kitu cha kutiliwa maanani? Nani anaye jua Misri alikutana na watu wa aina gani? Kwa nini alikuwa mshabiki wa jihad, tunajua jihadist wanahusishwa na ugaidi sehemu mbalimbali duniani? Nini kilimfanya aende jirani na eneo ambalo lilikumbwa na mashambulio ya kigaidi agust 1998? Ukisema ni kumbukizi ya tukio hilo inakuwa si sawa?
Nani alimfadhili kwenda kusoma Misri kuna ambaye ameshajua hilo. Familia za magaidi hulipwa na wafadhili wa ugaidi kupitia gaidi mwenyewe kwa hiki kipindi kifupi tayari uchunguzi wa yote haya umeshafanyika? Afichaye ugonjwa/maradhi iko siku isiyojulikana kifo kitamuumbua. Mpaka sasa kimsingi kifo kimeshaumbua na kinachoendelea ni funika kombe tu. Penetration ya Hamza katika ranks za chama imetisha.
Usingemuua huyo jamaa ambaye hakuwa threat kabisa ungekuwa ushapata majibu ya maswali yako yote haya!!

Nafikiri kwa sasa unajutia missing all these important info by now.
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Mwamba sio gaidi
 
Back
Top Bottom