Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Hata wizi na mabinti nao ni UDHAIFU,hivi unajua kuwa PhD ya babu ni ya masuala ya dini a.k.a hekima ni sawa na sheikh Ponda leo ajiite Dr Ponda.Acha porojo BULICHEKA(JOE5) Nchi hii DHAIFU ni mmoja tu nae ni kilaza(aka bb RZ1) kwishiney.au umetishwa na udaktari mgando? shule ya udaktari haipo pale ni kopo/dafu tu limejaa methali nahau na mipasho.
CC Pro CDM
Kwa taarifa tu