Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

STELA MWAMPAMBA ale life ban maana ametoa umbea soloon kauleta jf.
 
Mkuu Molemo, asante kwa taarifa. Prof. Beregu, kwa maoni yangu, ndio the only wise ndani ya CC ya Chadema akifuatiwa na JJ.Mnyika!. Ni mtu mwenye msimamo usioyumba na asiyekubali kupelekwa pelekwa kwa kutanguliza maslahi ya taidfa mbele ndipo nyuma chama kifuate, pale alipolazimishwa kujitoa kwenye Tume ya Katiba!, akawagomea kata kata hao "vichwa panzi" ambao kiukweli, mwanzo walikuwa na "uwezo" na "tuliwatumainia sana", ila sijui ni nini kimewapata!, uwezo wao unashuka kuelekea sifuri, zero, ila bado "watu" wanawatumainia", na ndio "wanawategemea" kwa 2015!.

Lets wait and see!.
Pasco.

Watafute ZZK na Kitila ili mpange mkakati mzuri wa team ya ushindi kuanzia 2014
 
hapa lazima kunawatu watasimamia vidole waliyotaka hayajawa
 
ana subiri kupigwa tofali na mwenyekiti wa chadema baunsa ndio ajiuzulu.
 
MOODS mbona mmelala sana? Kwann mmemuacha huyu bwana Mwampamba aendelee kupost ----- humu ndani;atiwe adabu kwa kupewa Ban ya ukweli
 
CDM kiboko yao. Ukijisahau tu unaadabishwa. Najiuliza future ya hawa jamaa kisiasa itakuwaje....?I thought it was brilliant within CDM now they are OUT! Wataenda/Rudi CCM?, wataenda cuf? whatever political party they choose will let them down. They will have to start afresh their political career which in one way or another, at their age....Hnnnnnn...kazi kweli kweli. Only my eyes to see and my hears to hear....

Prof Barengu I am with you on this, if you choose to go back where you were before fine....Remember Young Tanzanians are in front battling against filth ccm corrupt leaders. They will never surrender...
 
Na wewe unaamini hii mada iliyowekwa na vibaraka wa MBOWE? jana ungesikiliza BBC ungejua Baregu naye out.

Ww mpuuzi wengine tumesikia BBc mwanzo mwisho na hatukusikia popote alipozungumza tena si kuhusu cdm, hakuhojiwa kabisa bbc, acheni kuwa pre judgemental
 
Wpi card za uwanachama tutapata za chadema ,tunapenda watu wnye msimamo wasio nyenyekea wageni wala kuangalia umaarufu wa mtu nchi yetu nitajiri sana kwanini tunyanyasike msitetee ujinga wenzenu wananeemeka nyie mnabaki kulumbana bila revolution hamna kitu ,
 
Mwananchi breaking news??? kama ni kweli kibaraka wa CCM anayemsema ni nani kama siyo yeye aliyeteuliwa na MWENYEKITI WA CCM kuingia tume ya Katiba?

Kama Zitto ni akili kubwa, mchukueni mumpe ukatibu mkuu au uenyekiti wa chama chenu.

Kwanini mnataka awe mwenyekiti wa CHADEMA?....AU KAMA mnampenda sana mchukueni mumkabidhi wake zenu awasaidie.
 
mtela mwampamaba anastahili kula BAN ya >miezi 6 maana hii sio mara ya kwanza anakuja na uongo mkubwa kama huu
 
Mkuu Molemo, asante kwa taarifa. Prof. Beregu, kwa maoni yangu, ndio the only wise ndani ya CC ya Chadema akifuatiwa na JJ.Mnyika!. Ni mtu mwenye msimamo usioyumba na asiyekubali kupelekwa pelekwa kwa kutanguliza maslahi ya taidfa mbele ndipo nyuma chama kifuate, pale alipolazimishwa kujitoa kwenye Tume ya Katiba!, akawagomea kata kata hao "vichwa panzi" ambao kiukweli, mwanzo walikuwa na "uwezo" na "tuliwatumainia sana", ila sijui ni nini kimewapata!, uwezo wao unashuka kuelekea sifuri, zero, ila bado "watu" wanawatumainia", na ndio "wanawategemea" kwa 2015!.

Lets wait and see!.
Pasco.
Pole sana Pasco najua umeumia lakini utafanyaje?

kilichobaki ni kujifariji kwa maneno ya kukandia viongozi wa Chadema,

nakukumbusha tena Chadema ni Msingi tena wa zege la Mjerumani halivunjwi kwa nyundo.
 
Last edited by a moderator:
Wahuni wanajua huu ni mwisho wao , wanatapatapa. Prof Entale Chifuba Baregu hayupo huko
 
Back
Top Bottom