Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Mods mtela mwampamba apigwe ban,kwa kutoa taarifa za uongo.
Hili toto hata wakati ule Arusha lilileta uzushi mbaya sana nakumbuka likapewa kifungo sasa karudia tena. Kijana mdogo kuwa mwongo na mzushi ni aibu sana halafu unajiita mwanasiasa? Eti huyu ndio wajamaa wanajivunia kuwa wamepata kijana hodari? Hawajiulizi nini kilimfukuzisha Chadema? Mods fungia hii mbulula iliyosababisha watu wanapoteza muda kujadili uongo wake,pia kamvunjia heshima Pro Baregu maana kuna watu wamemtusi bure.