Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

Huyu ni Profesa wa kweli! sio hao maprof wenye tuhuma za kubaka!
 
CCM wanahaha lakini wapi,CDM ndo kila kitu mazee wao magamba yameishia viunoni lakini huku kwetu unafanya upuuzi tunainama kwenye katiba tunaona inasemaje tunachukua hatua ...CDM haina mtu fulani bali ina viongozi na wanachama na wote ni sawa

Ningewaon wa maana kama wangemtimua na LEMA. walichozidi kudhihirisha ni u-KASKAZINI tu.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.

Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.

Source:Mwananchi Breaking News


Nilikuanajiuliza sana toka jana yaani Prof. Baregu niliyemjua mie ndio afanye uamuzi huo kwa political adjust ndogo hii...na kwa timing ya ajabu ajabu hivyo-Dah ningewazaa sanaaaa
 
chadema ni chama dume siyo kama ma ccm wabana pua majukwaani,uvumi na uzandiki na uzushi vinaenezwa na wazee wa buku 7
 
ni bora mzee slaa amwombe msamaa zito. Teh teh teh teh teh.....

Juzi juzi SLAA alisema ZITTO hana shida bali ni watu wanawachonganisha, leo wamemnyang'anya madara, siasa bwana.
 
chadema ni chama dume siyo kama ma ccm wabana pua majukwaani,uvumi na uzandiki na uzushi vinaenezwa na wazee wa buku 7

Mmebaki na yule msaliti wa kanda ya Kati aliyechukua uraia wa kanda ya KASKAZINI(LISSU) ngoja tusubiri.
 
Mods ikithibitika aliyeleta uzi apewe LIFE BAN pamoja na kwamba ana ID nyingine atakayoendelea kuitumia


Naunga mkono hoja, moderators lazima washughulike na wazushi ilikujenga nidhamu na ubora wa jukwaa hili. [MENTION]Invisible [/MENTION]na

wenzako tunaomba mshughulike na wazushi.
 
Nilikuanajiuliza sana toka jana yaani Prof. Baregu niliyemjua mie ndio afanye uamuzi huo kwa political adjust ndogo hii...na kwa timing ya ajabu ajabu hivyo-Dah ningewazaa sanaaaa
Na wewe unaamini hii mada iliyowekwa na vibaraka wa MBOWE? jana ungesikiliza BBC ungejua Baregu naye out.
 
Mwananchi breaking news??? kama ni kweli kibaraka wa CCM anayemsema ni nani kama siyo yeye aliyeteuliwa na MWENYEKITI WA CCM kuingia tume ya Katiba?

wewe akili hazikutoshi. katiba ni ya wananchi wote, na rais ni wa wote
 
Back
Top Bottom