Nani? Kaskazini?
usichoke, shuhudia CHADEMA ya KASKANI inavyokufa.
Pamoja na mods kuondoa siri sirini ya ccm kupoka mchakato wa issue ya zitto ikiwemo kushinikiza wanachadema kuasi chama kwa kuahidiwa vyeo na fedha bado nina imani kubwa na pro-wetu
Yatasemwa mengi ila ndiyo wanawakomaza na kuwaandaa kisaikolojia kuchukua nchi.
Mimi nimechoka jamani.
Mwananchi breaking news??? kama ni kweli kibaraka wa CCM anayemsema ni nani kama siyo yeye aliyeteuliwa na MWENYEKITI WA CCM kuingia tume ya Katiba?
katishiwa tofali lazima
Mods ikithibitika aliyeleta uzi apewe LIFE BAN pamoja na kwamba ana ID nyingine atakayoendelea kuitumia
Paw, PainKiller, Fang, Buchanan, Cookie; Please do the needful......., hawa watu wanageuza hii forum kuwa sehemu ya kuleta upuuzi.Mods ikithibitika aliyeleta uzi apewe LIFE BAN pamoja na kwamba ana ID nyingine atakayoendelea kuitumia
Naona fisi wanasubiri mkono wa binadamu anaetembea uanguke!
Mimi nimechoka jamani.