Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Sasa km mfuko haueleweki si angegoma kutoka Mxxiew!!
Kuchoreshana tu!! Wewe mnashare vipi plate ya msosi
Mfuko ukowa haueleweki huwa hamkubali, wacha muongopewe tu

Sema mwamba alichokosea ni hiyo kushare plate ya msosi, hapo alitakiwa akaushe
 
Sema wewe ulikuwa humtaki pia.

Mi najua Msichana akishakukubali na ana malengo na wewe she will always be simple and cheap.

Zile mitoko mnaenda mnatumia 100k kwa misosi next time anakwambia baby hizi tulizokula ni Kuku tu na Juicy hata kwetu tungetengeneza Kuku na Juicy na isingefika hata elfu 30. Baby let us save money.

Unajua hapa una chombo.

Wanaume wote tunapenda wananwakw wa dizaini hii hata kama tunajifanya hatujali
Weee thubutuu huwa mnasema hivi ila mnafanya kinyume chake, utakuta mwanamke ana hizo sifa ila unamuacha au unachepuka, kisa tu ni gogo hajui viuno kitandani unaenda kwa hao wanaojua
 
Babe si Msahahara ulikuwa bado ndio Umetoka leo!!

Sasa kwann umenitangaza humu ndani
 
Akikutoa Tena Dinner Niite Mbwa.. Mwanaume anakupima Ww ni mtu wa Namna Gani siku ya Kwanza Tu ... Hapo keshaona Huyu hanifai kwenye Shuda na Raha.. Maana Siku akikosa Utaleta Uzi tena humu

Na Mimi nakuona kamq Mjinga Na Mwanamke wa Hovyo kwa Kuleta humu
Mkuu hao wanawake wanaowafaa kwenye shida na raha huwa mnawalipa nini zaidi ya kuwaacha mkishafanikiwa, na hata mkiwaoa mnawasaliti na wanawake ambao mlishindwa kuwapata kipindi hamkuwa na hela, mkiulizwa mnasema eti ndio maana tunawaoa sasa heshima ya hiyo ndoa iko wapi ikiwa hata hiyo michepuko inapata huduma (mapenzi, ngono, pesa na muda) sawa sawa na unavyompa mkeo ilihali hakuna chochote wanachooffer kwako zaidi ya ngono tu
 
Weee thubutuu huwa mnasema hivi ila mnafanya kinyume chake, utakuta mwanamke ana hizo sifa ila unamuacha au unachepuka, kisa tu ni gogo hajui viuno kitandani unaenda kwa hao wanaojua
Kuchepuka sio kumuacha mtu. Ni expansion joint tu. 😀

Haimaanishi mwanamke hapendwi ila tu mwanamke mmoja hatoshi kwetu wabantu. Lazma utakuwa unapooza rejeta mara moja moja.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuandika "ameku ask.....nimefuta his number" huo ni ushamba na ulimbukeni
 
Weee thubutuu huwa mnasema hivi ila mnafanya kinyume chake, utakuta mwanamke ana hizo sifa ila unamuacha au unachepuka, kisa tu ni gogo hajui viuno kitandani unaenda kwa hao wanaojua
Viuno muhimu ....kuna vitu ni standard
 
Kuna wanawake wa ajabu sana duniani, wanajali kupokea tu bila kutoa chochote angalau hata upendo huo nao ni utaoaji lkn hawana pia.

Ona anasema hamtaki tena.

Huyu ni Slayqueen mwaminifu kabisa.

Pili wewe huna uzee wowote.
Tuma nauli wakufuate newforce zimejaa mkuu lkn wanapokuja waje na asali na mafuta
Point nzuri hii
 
We tunaenda kula pweza tu mtaani na miguu ya kuku hamna namna ingine

Kwakweli. Sasa mimi unipeleke mtoko sehemu pamepooza mimi si nitaboekaa? Huko mitaani ndio penyewe tunapa enjoooy mpaka na visingeli vya hapa na palee.
 
Kuchepuka sio kumuacha mtu. Ni expansion joint tu.

Haimaanishi mwanamke hapendwi ila tu mwanamke mmoja hatoshi kwetu wabantu. Lazma utakuwa unapooza rejeta mara moja moja.
Basi ndio mkubali kuanza wenyewe from the scratch ili mkianza kutumia hela zenu na wanawake wengine msiumize watoto wa watu waliowavumilia kwenye shida, ila hii ya kutaka mtoto wa mtu aanze na wewe halafu mwisho wa siku mkifanikiwa hela zako unataka ukatumie na wengine pia ambao hawakuwepo kwenye mahangaiko yenu haijakaa vizuri, acheni tu wanawake wote wafuate hela kwenu maana hamuna namuna ukitaka vitu toa hela simple tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom