Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
- #181
Mie binafsi sijawahi kujitutumua. Niliwahi kumtoa Demu wa Kishua pale Buguruni Sheli na sikuona shida.
Yeye alidai nimempeleka yenye hadhi ndogo. Mi sikujali nilijisimamia kama mimi kwa upande wangu enzi hizo nikiwa mwanachuo yeye baba yake akiwa Senior Lecturer.
Hata hivyo tulikula Mchemsho wa Ndizi na Mbuzi na Soda. Usiku tukageuza.
Dada Angel kama uko humu thibitisha hili.
Angel huyu alikuwa anapenda sana Maisha ya juu. Clubs kila weekend. Msosi Lunch anakula wa elfu kumi mimi Booom napata elfu 5. Ningejitutumua vipi?
Sema she liked me than my money. We drove our love hadi watu wakashangaa
Truth ndo iliku set free na ndio ikamfanya mpaka mkapendana
Sasa mtu uongo na kujitutumua


.