Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Mie binafsi sijawahi kujitutumua. Niliwahi kumtoa Demu wa Kishua pale Buguruni Sheli na sikuona shida.

Yeye alidai nimempeleka yenye hadhi ndogo. Mi sikujali nilijisimamia kama mimi kwa upande wangu enzi hizo nikiwa mwanachuo yeye baba yake akiwa Senior Lecturer.

Hata hivyo tulikula Mchemsho wa Ndizi na Mbuzi na Soda. Usiku tukageuza.

Dada Angel kama uko humu thibitisha hili.

Angel huyu alikuwa anapenda sana Maisha ya juu. Clubs kila weekend. Msosi Lunch anakula wa elfu kumi mimi Booom napata elfu 5. Ningejitutumua vipi?

Sema she liked me than my money. We drove our love hadi watu wakashangaa

Truth ndo iliku set free na ndio ikamfanya mpaka mkapendana
Sasa mtu uongo na kujitutumua
 
Umenikumhusha back then nimeomba date naambiwa "sina nguo ya kuvaa" naam??? "Sina nguo ya kuvaa kwenye date yetu"....okay okay..tutapanga siku nyingine ukipata nguo ya kuvaa!!
 
Unatakiwa ujiongeze na wewe, mwanamme anapokwambia chagua ujue anakupima akili yako.

Amegundua wewe hujiongezi ndio maana amefakamia chakula, amejua hutakuwa wake ndio maana ameona badala ya kukosa vyote bora ale chakula tu

Na mm nimegundua hajitambui na hajielewi na haishi maisha halisi na mimi pia sihitaji mtu kama huyoo
 
Inaonekana hilo jambo limekupa hadi Stress kufanya ukose na Usingizi, maana hadi kuandika mada hii saa 12:44 AM sio mchezo.

Wakati mwingine, Mwanaume anaweza kukupima kama u-mchoyo kwa vitu kama hivyo.

Kama yeye aliyegharamia kununua hicho chakula unataka kumnyima, Vipi ikitokea amekuoa.

Ndugu zake kweli unaweza kuwaandalia chakula, ama utaishia kuwafukuza?

Kama unaanza Uchoyo mkiwa kwenye hatua za awali hivi, mkiingia kwenye ndoa si hautataka utembelewe hata na ndugu mmoja wa upande wa Mume?
 
Inaonekana hilo jambo limekupa hadi Stress kufanya ukose na Usingizi, maana hadi kuandika mada hii saa 12:44 AM sio mchezo.

Wakati mwingine, Mwanaume anaweza kukupima kama u-mchoyo kwa vitu kama hivyo.

Kama yeye aliyegharamia kununua hicho chakula unataka kumnyima, Vipi ikitokea amekuoa.

Ndugu zake kweli unaweza kuwaandalia chakula, ama utaishia kuwafukuza?

Kama unaanza Uchoyo mkiwa kwenye hatua za awali hivi, mkiingia kwenye ndoa si hautataka utembelewe hata na ndugu mmoja wa upande wa Mume?
Mkuu, we endelea kuwapaka mafuta tu kama watu wenyewe ndio hawa.

Agiza na asali kabisa🤣🤣🤣
 
Mkuu, we endelea kuwapaka mafuta tu kama watu wenyewe ndio hawa.

Agiza na asali kabisa🤣🤣🤣
Mkuu unataka nifie kitandani, Babu yao nimezeeka Ujue 😅

Inaonesha huyu Binti ana asili ya Uchoyo, akiendelea hivi kuna siku atamnyima hadi Chakula cha Usiku Mume wake 🤪
 
Mkuu unataka nifie kitandani, Babu yao nimezeeka Ujue 😅

Inaonesha huyu Binti ana asili ya Uchoyo, akiendelea hivi kuna siku atamnyima hadi Chakula cha Usiku Mume wake 🤪
Kuna wanawake wa ajabu sana duniani, wanajali kupokea tu bila kutoa chochote angalau hata upendo huo nao ni utaoaji lkn hawana pia.

Ona anasema hamtaki tena.

Huyu ni Slayqueen mwaminifu kabisa.

Pili wewe huna uzee wowote.
Tuma nauli wakufuate newforce zimejaa mkuu lkn wanapokuja waje na asali na mafuta😂😂😂
 
Mabinti nao hujitutumua kuagiza vyakula na vinywaji wanavyoviona mitandaoni tu ili waonekane wa hadhi fulani.

Wengine vinawashinda hata kula wanaishia kuonja tu na walafi huishia kutapika huko vichochoroni.

Acheni uroho!
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Ungeenda na hela zako ukalipia ILI aonekane fala zaidi lakini kama kalipia yeye mwenyewe na kala yeye Bas we ndio una MATATIZO!!!

Kwani ukiambiwa unatolewa out lazima aliekutoa agharamie ulaji wako!!?

Dependent syndrome itaua vipaji vya wengi!!
 
Kuna wanawake wa ajabu sana duniani, wanajali kupokea tu bila kutoa chochote angalau hata upendo huo nao ni utaoaji lkn hawana pia.

Ona anasema hamtaki tena.

Huyu ni Slayqueen mwaminifu kabisa.

Pili wewe huna uzee wowote.
Tuma nauli wakufuate newforce zimejaa mkuu lkn wanapokuja waje na asali na mafuta😂😂😂
Huyo binti hafai kuolewa wala kufanywa Mchumba, vinginevyo aache tabia yake ya uchoyo.

Inaonekana Mkuu, hunitakii mema, yaani na Uzee huu nianze kukimbizana na mabinti, Over my deadbody 😎

Nimebaki kulea wajukuu tu 😁
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Pole sana mkuu
 
Huyo binti hafai kuolewa wala kufanywa Mchumba, vinginevyo aache tabia yake ya uchoyo.

Inaonekana Mkuu, hunitakii mema, yaani na Uzee huu nianze kukimbizana na mabinti, Over my deadbody 😎

Nimebaki kulea wajukuu tu 😁
Hivi yule dr. wa Tabora vipi mkuu.

Ukweli ni kwamba mabinti wanataka wazee.....yule kibonge kutoka mipakani hajambo?, wewe watumikie tu mkuu.

Tugawane majukumu...wewe watumikie....wengine tumtumikie Kristo😂😂😂
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Pole aisee....
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Atakayefanikiwa kumuimpress mwanamke nipo pale nimekaa, nitampa 1M. Hata upange kukutana naye mbinguni kasoro zitakuwepo. Vijana ishini maisha yenu, hayanaga formula hata makungwi wa kike wamewashindwa wewe ninani 🤣 🤣
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Ungemwambia tu kwamba asiwe na wasiwasi bili zote utalipa, hiyo ingekua dawa yake na asingafanya hivo tena kwa mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom