Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

🤣🤣🤣Mbona rato Kwa rato,kaona heeee ya Nini mie,ngoja nipoze njaa,......ila wadada wa kibongo ndio maana tuna vitambi yaani tukitoka out ni kula kujigaragaza
Unajigaragazaje plate 45K jamaa alikuwa na 50K kaagiza maji ya buku 5 mpunga umekata. 🤣

Wakat wangeenda sehem ya kawaida wangeinjoy kwa uchakavu usiozidi 20K tu. Chenchi inayobakia ni Lodge
 
Siku hizi wanakuvua wig nasikia 🤣🤣🤣

Me kwakweli hiz out za wamatumbi lazima nibebe cash na tembo card incase tukizinguana nisiaibike.
Km Sina pesa siendi, wamatumbi hawajawahi kueleweka
Sasa Mimi sio kila mtoko navaa wigi, zingine najiendeaga na lowcut yangu Sasa hapo si ni kudeki mgahawa tu?🤣🤣🤣
 
Nchi kama US ukitoka date na demu basi malipo ni 50-50 mademu wa kibongo akipata Boy friend ndio anaona kama amepata ajira!

Huyo Mwanaume ndio wa level yako,kama ukibahatika ukampata wa level ya juu kidogo basi na yeye atakutema.
Ndo maana mimi nasema 50/50 ikiwa applicable kwa vitendo wanawake ndio watakaoumia. Wengi watakosa sehemu za kuishi wengi watakufa njaa. Wamekazania 50/50 kwa sababu hawana maono ya mbali. Mfano huyu mleta mada katoka date na jamaa halafu anataka kulipiwa kila kitu akitoka hapo anadai 50/50
 
Unajigaragazaje plate 45K jamaa alikuwa na 50K kaagiza maji ya buku 5 mpunga umekata. 🤣

Wakat wangeenda sehem ya kawaida wangeinjoy kwa uchakavu usiozidi 20K tu. Chenchi inayobakia ni Lodge
😅😅😅Hapo kwenye chenchi umeua...
Watu wanataka kwenda zao sehemu zenye hadhi😄😄
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
We nae njaa zinakusumbua ,ndio maana unalia Lia tu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom