Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Na iwe tu biashara kuliko huu utapeli mnaowafanyia watoto wa watu in the name of true love
Wanaume ni matapeli sana,
Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.


Eti wanapima uwife material kwenye hela na chakula,wakati huo huo wao siyo husband material....

Mwanaume kamili atampima tamaa mwanamke wake kwa kumpa pesa za kutosha azimanage.
 
Wanaume ni matapeli sana,
Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.


Eti wanapima uwife material kwenye hela na chakula,wakati huo huo wao siyo husband material....

Mwanaume kamili atampima tamaa mwanamke wake kwa kumpa pesa za kutosha azimanage.
😂😂😂😂😂upewe hela ili ununue ambavyo hata hutumii ilimrad uspend tu
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.

Yan umemsimanga jamaa vyote hivi na yeye ndie alielipa bili…kwanini na wewe usingepambana mwende pasu kwa pasu kwenye bili ?..
 
Najitegemea
Tatizo why ask me for a date and kujifanya you can afford everything wakati huwezi si bora uwe muwazi nikusaidie
Tatizo lenu huwa mnafanya kukomoa au mnaagiza menyu + vinywaji vya ndoto zenu.

Kuwa simple tu day one kisha baadae utamsoma vizuri na utafahamu maokoto yake....
 
Kwa iyo tabia ya kujitutumua huku huna kitu hapana hawezi kuwa mume wangu bora angekua mkweli ninge muona timamu
Ni wanaume wachache sana wenye guts za kusema ukweli.
Basi angekomaa na maji hadi mwisho. Hiyo ya kupiga msosi Hadi mwisho kazingua sana
 
Nitake radhi ww
Wazazi wangu wamenisomesha na alhamdulilqhi nimepata kazi na ninajitegemea
ngoja nimjibie jamaa sababu sio kuwa na kaz,unaeza ukawa na kaz na ukawa omba omba vile vile au malaya malaya...kifup labda kwa lugha nyepes mm niseme kuwa na akili alaf acha ubinafsi au uliona ukija jamii forum utaungwa mkono kwa huu upuuz

nyie ndio madem wa kula na kusepa sio kuekwa ndan ww ni tatizo labda uje ubadili hiyo tabia ya kitoto
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Hali ngumu dadake
 
Nchi kama US ukitoka date na demu basi malipo ni 50-50 mademu wa kibongo akipata Boy friend ndio anaona kama amepata ajira!

Huyo Mwanaume ndio wa level yako,kama ukibahatika ukampata wa level ya juu kidogo basi na yeye atakutema.
Tukiwatolea mifano ya USA wanatujibu twende tukaoe huko
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Ukiuandaa huo uzi ni Tag, hapa Leo huyo jamaa kazingua sana manake aliaminisha kuwa Kila kitu atasimamia
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
msosi tu unakutoa roho hivyo🤣🤣
 
Inaonekana ukitolewa out inakuwa makini kuangalia reaction ya mlipa bill wakati wa malipo
Kabisa...sio kwenye bill tu,hata kwenye maongezi....unaeza kuwa unaongea topic mwenzio kaboreka we unaongea tu,lazima uwe makini kujua hiki ninachozungumzia kina muimpress mwenzio?au ndio napuyanga?first date ni hatari😁😁😁
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Dah!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom