Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Na iwe tu biashara kuliko huu utapeli mnaowafanyia watoto wa watu in the name of true loveHio ngumu, wanawake wote mkitaka mpewe hela ndio mtoe penzi tasnia inageuka kuwa biashara.
Na iwe tu biashara kuliko huu utapeli mnaowafanyia watoto wa watu in the name of true loveHio ngumu, wanawake wote mkitaka mpewe hela ndio mtoe penzi tasnia inageuka kuwa biashara.
Asa si Bora huyo ambae,hata amelipa hio bill,ushawah kukutana anae jitutumua hata naul hana anaanza kukulili??![]()




Wanaume ni matapeli sana,Na iwe tu biashara kuliko huu utapeli mnaowafanyia watoto wa watu in the name of true love
😂😂😂😂😂upewe hela ili ununue ambavyo hata hutumii ilimrad uspend tuWanaume ni matapeli sana,
Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.
Eti wanapima uwife material kwenye hela na chakula,wakati huo huo wao siyo husband material....
Mwanaume kamili atampima tamaa mwanamke wake kwa kumpa pesa za kutosha azimanage.
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Tatizo lenu huwa mnafanya kukomoa au mnaagiza menyu + vinywaji vya ndoto zenu.Najitegemea
Tatizo why ask me for a date and kujifanya you can afford everything wakati huwezi si bora uwe muwazi nikusaidie
Hapa alikosea sana. Unamwambia mtu achague place ukiwa na uhakika wa kumudu gharama.Sasa alivyomwambia achague place it means ana afford bill...huyo kaka ni ndezi sana...![]()
Ni wanaume wachache sana wenye guts za kusema ukweli.Kwa iyo tabia ya kujitutumua huku huna kitu hapana hawezi kuwa mume wangu bora angekua mkweli ninge muona timamu

ngoja nimjibie jamaa sababu sio kuwa na kaz,unaeza ukawa na kaz na ukawa omba omba vile vile au malaya malaya...kifup labda kwa lugha nyepes mm niseme kuwa na akili alaf acha ubinafsi au uliona ukija jamii forum utaungwa mkono kwa huu upuuzNitake radhi ww
Wazazi wangu wamenisomesha na alhamdulilqhi nimepata kazi na ninajitegemea
Hali ngumu dadakeYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Tukiwatolea mifano ya USA wanatujibu twende tukaoe hukoNchi kama US ukitoka date na demu basi malipo ni 50-50 mademu wa kibongo akipata Boy friend ndio anaona kama amepata ajira!
Huyo Mwanaume ndio wa level yako,kama ukibahatika ukampata wa level ya juu kidogo basi na yeye atakutema.
Ukiuandaa huo uzi ni Tag, hapa Leo huyo jamaa kazingua sana manake aliaminisha kuwa Kila kitu atasimamiaMwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Hahah hamna hio huwa tuna sense tu.Utashangaa tu umebakia mwenyewe na bill zako za kulipa. Maana Menu ikija ukaona muhun kaagiza maji jua mbombo ngafu.



msosi tu unakutoa roho hivyo🤣🤣Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Inaonekana ukitolewa out inakuwa makini kuangalia reaction ya mlipa bill wakati wa malipoAcha tu, ukimpenda mwenzio utamuonea huruma....unaona mwanaume wa watu kapewa bill Hadi sura inabadilika,sio poa
![]()


Kabisa...sio kwenye bill tu,hata kwenye maongezi....unaeza kuwa unaongea topic mwenzio kaboreka we unaongea tu,lazima uwe makini kujua hiki ninachozungumzia kina muimpress mwenzio?au ndio napuyanga?first date ni hatari😁😁😁Inaonekana ukitolewa out inakuwa makini kuangalia reaction ya mlipa bill wakati wa malipo![]()
Alimchukulia poa,kumbe mwenzie wa kishua🤣Hapa alikosea sana. Unamwambia mtu achague place ukiwa na uhakika wa kumudu gharama.
Dah!...Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Ila demu nae jau. Unamind vipi mtu ku share msosi alioulipiaAlimchukulia poa,kumbe mwenzie wa kishua![]()



Ndio maana mwanzo kabisa nilimwambia ana tabia ya uchoyo...sharing is caringIla demu nae jau. Unamind vipi mtu ku share msosi alioulipia![]()