Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Viuno muhimu ....kuna vitu ni standard
Basi hakuna haja ya kuwalaumu wanawake endapo wanawapendea pesa tu, maana kama ninyi mnashindwa kuangalia vitu vya msingi mnaangalia viuno kwanini mnawapangia wao vya kuangalia, kila mtu apende kile anachoona kitamfaidisha yeye na nafsi yake basi
 
Basi hakuna haja ya kuwalaumu wanawake endapo wanawapendea pesa tu, maana kama ninyi mnashindwa kuangalia vitu vya msingi mnaangalia viuno kwanini mnawapangia wao vya kuangalia, kila mtu apende kile anachoona kitamfaidisha yeye na nafsi yake basi
Mama viuno ni vitu vya msingi.....nani kakwambia sio vitu vya msingi?
 
Hakuna anayewatukana ila wao wamezidi wamefanya pesa inazidi hadi Utu
Yeah exactly ndicho ninachojaribu kusema kwamba hata ninyi mmefanya viuno na mbwembwe nyingine zote kwenye ngono ndio vya muhimu kuliko utu, maana mwanamke anaweza kuwa na sifa nyingi nzuri ila mkamuacha au mkamsaliti kisa ni gogo hajui kukata viuno, wakati tunajua kwenye hilo tendo hata bila viuno kumwaga kupo pale pale ila mnataka tu mbwembwe zisizo na msingi wala umuhimu wowote ilihali tunajua hakuna binadamu aliyekamilika kila sector
 
Mmeona jamani jinsi BIDHAA inavyouzwa kwa Ghali?

Hapa MUUZAJI wa BIDHAA amekasirika amekutana na MNUNUAJI ambae anauchungu na Pesa yake.

Ila Muuzaji wa BIDHAA hana CUSTOMER care nzuri alipaswa aitunze hiyo number just incase next time aweze KUVUNA/KUPUNUSA fedha za Mteja.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Basi ndio mkubali kuanza wenyewe from the scratch ili mkianza kutumia hela zenu na wanawake wengine msiumize watoto wa watu waliowavumilia kwenye shida, ila hii ya kutaka mtoto wa mtu aanze na wewe halafu mwisho wa siku mkifanikiwa hela zako unataka ukatumie na wengine pia ambao hawakuwepo kwenye mahangaiko yenu haijakaa vizuri, acheni tu wanawake wote wafuate hela kwenu maana hamuna namuna ukitaka vitu toa hela simple tu
🤣 Hio ngumu, wanawake wote mkitaka mpewe hela ndio mtoe penzi tasnia inageuka kuwa biashara.
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.


We ni mjinga
 
Why nimuagizie wakati yy ndo alisema everything will be on me
So na mm nilikua na my budget ya usafiri and so on , kumnunulilia yy chakula haikua kwenye my budget
Wewe umekosa heshima ya kiasili hata kama huyo jamaa kazingua, ukiwa ni mwanamke ambaye umefundwa ulitakiwa utake responsibility ya makosa yake we ungemlipia tu
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Baada ya kumaliza menu kiliendelea Nini!??
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
hivi nyinyi wamama (japo wenyewe mnajifanya bado ni wadada wkt tunajua watoto wenu mmewapeleka kulelewa na bibi zao) kwanini mkiwa wenyewe mnaagiza maji tu na labda vinywaji vingine vyepesi tu.

ila ukiskia👂👂 ni offer tu, basi utaishia kuagiza hata ambavyo haukuvifikiria. tunakomoana au ndo kupimana imani? acheni ayo mambo ya shamba bana.
 
H
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Hamkupeana penzi?!!
 
Nchi kama US ukitoka date na demu basi malipo ni 50-50 mademu wa kibongo akipata Boy friend ndio anaona kama amepata ajira!

Huyo Mwanaume ndio wa level yako,kama ukibahatika ukampata wa level ya juu kidogo basi na yeye atakutema.
Mm vinaniuzi kweli yani ukimwalika tu mezani kwako ni kosa unashangaa mtu anaanza kulia njaa. yani inakuwaje bado haujala saba usiku
 
Najitegemea
Tatizo why ask me for a date and kujifanya you can afford everything wakati huwezi si bora uwe muwazi nikusaidie

We ungetoa harage lako tu na ukajihudumia mwenyewe , Mnajifanyaga mbavu za mbwa kumbe kenge tupu
 
nimekualika, umeagiza ukipendacho, ukafakamia na wine juu, Lakini bado unalalamika?

sasa unataka upewe nin tena asee,
yaani badala ya kunishukuru kwa hicho kidogo kijana wa watu nimejibinya , unalalamika, unaumia na unazira kabisa?

hujui kwamba hiyo ni investment unatakiwa kuiheshimu? Itakusaidia ipo siku usiyoijua na utanikumbuka nakwambia tena , dunia tunapita tu.....

Sijapenda ulivyokuja kunianika na kunitangaza humu jukwaani, si ungeniambia tu papepale.
Yaani umeniblock bila sababu nakupigia na namba nyingine unajifanya hupokei, Asante nashukuru kwa yote ila ujue nimeumia.
Mwamba mwanamke hatakiwi ajue kama mwanaume umeumia, kwani hawa viumbe wakijua umeumia ndiyo wanajiona wajanja, take easy na asijue kama umeumia uone mwanamke atakavyo kosa amani kabisa
 
Asa si Bora huyo ambae,hata amelipa hio bill,ushawah kukutana anae jitutumua hata naul hana anaanza kukulili??😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom