Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Basi humu kina dada watajimwambafy kumsema muhuni kumbe na wao wanadate na kina
Selemani msiwaache warekebisheni na muwafundishe kwamba tukienda huko mitoko inakua hivi nakumbuka enzi ubaro baro tulikua tunagoogle jinsi ya kuongea na mrembo n.k 😂😂, mtoa mada badala umchane mchizi ajue hupendi ujinga au mambo yavyopaswa kuwa kaja kushtaki Jamii Forum ! Rekebisha chuma hiyo huku imeyumba lakini kwingine itakua inafanya vizuri kwenye mambo mengine.

Mambo ya mahusiano kwa mtazamo wangu ni kufundishana na kuelekezana shida siku hizi tunapendeana matako na mwonekano !
Mambo ya kwenda date watu wengine hawaelewi hizo formula Simiyu hazipo ila baada ya muda mchizi angeelewa mazingira.
 
Wewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!


Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa

Unakua na mtazamo huo coz inaonekana ndo unakutana sana na wanawake wa design izo sana
Polee sana kama huo mfano wako hapo ulioandika
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Lini utaleta Uzi usisahu kunitag
 
Wewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!


Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa
Una akili sana
 
Wanawake wa sasahivi wanajitukuza Sana na sisi wanaume tunawatukuza Sana maana watafanya Kila liwezekanalo Ili mwanaume aonekane wa ajabu.Watasema wanaume wanawakosea sijui wajirekebishe hapa mara hapa.Swali langu Ina maana Hawa wanawake hawana makosa au ndyo wametuzidi akili?

Acheni kuwapa vichwa

Mara

1 Jinsi ya kumridhisha mwanamke

2 Jinsi ya kufanya dating na mwanamke iwe nzuri

3 Jinsi ya kumfanyia hivi mara vile mwanamke.

Ni upuuzi mtupu.Ishini kadri ya uwezo wenu.Kumfanya mwanamke sanamu mwanamke hakutakupeleka popote.

Same to us pia kumfanya mwanaume sanamu hakutatupeleka popote
Na sisi tumechoka kuwatukuza
 
It’s not what you think
Uyu alikua ananitaka tuingie kwenye relationship ila Bado nilikua sijamkubalia
Sasa ndo akaona Sijui akisema choose any place Sijui nini ndo mm ntalainika kumbe kaharibu mwanaume yule asiejiamini
Ohhh..

But next time ikikutokea kama hivyo, agiza chakula kingine, yaan wakat jamaa anafakamia pale unaagiza plate nyingine alafu kaa zako kimya.
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Wenye mbwembwe kama zako huwa hsmna lolote.

Mwanaume hupaswi kuwa na mambo mengi hivi.

Na wanawake wenye akili hukupima kwa idadi ya maneno yako.

Wewe unaliwa kichwa saa 2.
Wadanganye akina Mwajuma wa Tandale pekee
 
Dadeki yaani nikwambie uchague sehemu yoyote!!
Kwa hali hii ya sasa, ukiona nimekupeleka sehemu basi jua bei za hapo nazijua vizuri hata uagize nini vinalipika.

Na napenda wale wa kuvunga vunga ooh we niagizie tuu.

Bora ww unachagua mwenyewe na bei ya iyo sehemu unazijua
Uyu kajitutumua ni choose mwenyewe any place
What a shamee
 
Huyo alikosea sana, ilitakiwa baada ya kushiba Saa ya kulipa alipie maji amwambie mhudumu kila mtu analipa bili yake nipo na super woman na asibadili msimamo.
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Akikutoa Tena Dinner Niite Mbwa.. Mwanaume anakupima Ww ni mtu wa Namna Gani siku ya Kwanza Tu ... Hapo keshaona Huyu hanifai kwenye Shuda na Raha.. Maana Siku akikosa Utaleta Uzi tena humu

Na Mimi nakuona kamq Mjinga Na Mwanamke wa Hovyo kwa Kuleta humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom